Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Yohana Chance
  • Page 85

Author: Yohana Chance

TP Mazembe Wakabiliwa na Kibarua Kigumu

Posted on: April 19, 2016 - Yohana Chance
TP Mazembe Wakabiliwa na Kibarua Kigumu

klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inakabiliwa na kibarua kigumu dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco katika jitihada zake za kutetea…

Continue Reading....

Vardy Kitanzini Kwa Kumkaripia Mwamuzi

Posted on: April 19, 2016 - Yohana Chance
Vardy Kitanzini Kwa Kumkaripia Mwamuzi

Mshambuliaji wa Leicester City Jamie Vardy amefunguliwa mashtaka ya utovu wa nidhamu na chama cha soka cha nchini England FA. Vardy alifanya vitendo vya utovu…

Continue Reading....

Spurs Yashinda Nne Mtungi, Leicester City Wahaha

Posted on: April 19, 2016 - Yohana Chance
Spurs Yashinda Nne Mtungi, Leicester City Wahaha

Klabu ya soka ya Tottenham wakicheza ugenini katika dimba la Brittania wameibuka na ushindi wa kishindo wa mabao 4-0 dhidi ya Stoke City. Mshambuliaji mahiri…

Continue Reading....

Kichuya wa Mtibwa Awa Mchezaji Bora wa Mwezi

Posted on: April 18, 2016 - Yohana Chance
Kichuya wa Mtibwa Awa Mchezaji Bora wa Mwezi

Mshambuliaji Shiza Ramadhan Kichuya wa timu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Machi kwa Ligi Kuu ya Vodacom msimu huu…

Continue Reading....

Malinzi Atuma Salamu za Pongezi Ujerumani

Posted on: April 18, 2016 - Yohana Chance
Malinzi Atuma Salamu za Pongezi Ujerumani

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ametumia salamu za pongezi, Reinhard Grindel kwa kuchaguliwa rais mpya wa Shirikisho la Mpira…

Continue Reading....

Mashabiki Wasimba Wawekwa Kikaangoni

Posted on: April 18, 2016 - Yohana Chance
Mashabiki Wasimba Wawekwa Kikaangoni

Shirkisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limelaani kitendo cha baadhi ya mashabiki wa mpira wa miguu kufanya vurugu mara baada ya mchezo kati ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari