Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Yohana Chance
  • Page 7

Author: Yohana Chance

Bondia Mashali Apigwa hadi Kufa na Watu Wasijulikana

Posted on: October 31, 2016 - Yohana Chance
Bondia Mashali Apigwa hadi Kufa na Watu Wasijulikana

BONDIA Christopher Fabian Mashale maarufu ‘Francis Mashali’ amefariki dunia baada ya kupigwa na watu ambao bado hawajajulikana usiku wa kuamkia leo. Taarifa zinasema kwamba mwili…

Continue Reading....

Rais Magufuli Aelekea Kenya Ziara ya Siku Mbili

Posted on: October 31, 2016October 31, 2016 - Yohana Chance
Rais Magufuli Aelekea Kenya Ziara ya Siku Mbili

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John PombeMagufuli, leo tarehe 31 Oktoba, 2016 ameondoka nchini kuelekea Nairobi nchini Kenya kwa ziara ya Kiserikali…

Continue Reading....

Dodoma Kushuhudia Ligi ya Wanawake

Posted on: October 28, 2016 - Yohana Chance
Dodoma Kushuhudia Ligi ya Wanawake

Uzinduzi wa Ligi ya Taifa ya Wanawake unatarajiwa kufanyika Novemba 1, 2016 kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma katika mchezo ambao Baobao itacheza na Victoria…

Continue Reading....

Mourinho, Moyes Wapigwa Rungu na FA

Posted on: October 28, 2016 - Yohana Chance
Mourinho, Moyes Wapigwa Rungu na FA

Kocha wa Manchester United Jose Mourinho ameshtakiwa na shirikisho la soka nchini Uingereza FA kwa kudai kwamba itakuwa vigumu kwa refa Anthony Taylor kusimamia mechi…

Continue Reading....

Zali la Farid Mussa Latiki Huko Deportivo

Posted on: October 27, 2016 - Yohana Chance
Zali la Farid Mussa Latiki Huko Deportivo

UONGOZI wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, unapenda kuwataarifa wapenzi wa soka kuwa winga wao Farid Mussa, jana amepata kibali rasmi…

Continue Reading....

Manchester United Waisambaratisha City

Posted on: October 27, 2016 - Yohana Chance
Manchester United Waisambaratisha City

Manchester United walifika hatua ya robo fainali katika Kombe la EFL baada ya kuwalaza mabingwa watetezi Manchester City kwenye debi iliyochezewa uwanja wa Old Trafford.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari