Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Yohana Chance
  • Page 65

Author: Yohana Chance

Barcelona Ndio Habari ya Mjini, Watwaa Kombe

Posted on: May 14, 2016 - Yohana Chance
Barcelona Ndio Habari ya Mjini, Watwaa Kombe

Ligi kuu ya Hispania Inafikia tamati leo huku timu zikiwa zinakabana koo kueleke kubeba ndoo ya ligi hiyo tayari Barca imeshinda mchezo 3 – 0…

Continue Reading....

Yanga SC Kama Barca, Bayern Wapeleka Ndoo Jangwani

Posted on: May 14, 2016 - Yohana Chance
Yanga SC Kama Barca, Bayern Wapeleka Ndoo Jangwani

MABINGWA wapya wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga wamekabidhiwa kombe la ubingwa baada ya kumalizika kwa mchezo dhidi ya Ndanda ambao walitoka sare…

Continue Reading....

Sherehe za Bayern Munich Babu Kubwaaaaaaaaaaa

Posted on: May 14, 2016 - Yohana Chance
Sherehe za Bayern Munich Babu Kubwaaaaaaaaaaa

Klabu ya Bayern Munich imekabidhiwa taji la oleo baada ya kuilaza Hannover 96 kwa jumla ya Bao 3 – 1 wakiwa nyumbani kwao

Continue Reading....

Sasa FIFA Kuongozwa na Mwanamke

Posted on: May 14, 2016 - Yohana Chance
Sasa FIFA Kuongozwa na Mwanamke

Kwa mara ya kwanza katika historia, mwanamke ameteuliwa kuwa katibu mkuu wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), shirikisho ambalo kwa kiwango kikubwa limetawaliwa na wanaume.…

Continue Reading....

Waziri Nape Awakaribisha Bloggers Bungeni Dodoma

Posted on: May 14, 2016May 14, 2016 - Yohana Chance
Waziri Nape Awakaribisha Bloggers Bungeni Dodoma

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye (aliyevaa tai) akiwa katika picha  ya pamoja na wamiliki wa Blogs Bloggers) aliowaalika wakati wa kuwasilisha…

Continue Reading....

Nchemba Kuwapa Yanga Kesho Kombe Lao Taifa

Posted on: May 13, 2016 - Yohana Chance
Nchemba Kuwapa Yanga Kesho Kombe Lao Taifa

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba Madelu kesho Jumamosi Mei 14, 201 anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari