Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Yohana Chance
  • Page 6

Author: Yohana Chance

Vincent Kompany Aponea Chupuchupu

Posted on: November 11, 2016 - Yohana Chance
Vincent Kompany Aponea Chupuchupu

Nahodha wa Manchester City, Vincent Kompany hana jeraha lolote, licha ya kutolewa kwake katika mechi waliotoka sare ya bao moja kati ya Ubelgiji na Uholanzi.…

Continue Reading....

Wenger Awapigia Magoti Chile

Posted on: November 11, 2016 - Yohana Chance
Wenger Awapigia Magoti Chile

Meneja wa Arsenal Arsene Wenger ameiomba Chile kutomuweka hatarini mshambuliaji Alexis Sanchez mechi ya taifa hilo ya kufuzu kwa Kombe la Dunia dhidi ya Uruguay.…

Continue Reading....

Madaktari Manchester United Wamchafua Mourinho

Posted on: November 10, 2016 - Yohana Chance
Madaktari Manchester United Wamchafua Mourinho

Mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho anachunguza kila kitu kuhusu kikosi chake cha kwanza baada ya kusikitishwa na utamaduni aliorithi katika klabu hiyo. Mourinho inadaiwa…

Continue Reading....

JKT Oljoro Watoa Madawati 537 Halmashauri ya Serengeti

Posted on: November 10, 2016 - Yohana Chance
JKT Oljoro Watoa Madawati 537 Halmashauri ya Serengeti

Kaimu Kamanda wa Kikosi cha JKT Oljoro Meja Robert Kabanda akikabidhi Madawati 537 kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Mhandisi Juma Hamsini. Kaimu…

Continue Reading....

Malinzi Aula CAF Kamati ya Mageuzi

Posted on: October 31, 2016 - Yohana Chance
Malinzi Aula CAF Kamati ya Mageuzi

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika, Issa Hayatou ameteua Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi kuwa miongoni mwa…

Continue Reading....

Bale Ajipiga Kitanzi Real Madrid Hadi 2022

Posted on: October 31, 2016 - Yohana Chance
Bale Ajipiga Kitanzi Real Madrid Hadi 2022

Klabu ya Real Madrid imemsainisha mkataba mpya winga wake Gareth Bale na kumfanya aendelee kudumu klabuni hapo mpaka 2022. Bale mchezaji wa zamani wa Southampton…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari