Beki wa timu ya taifa ya Ufaransa Raphael Varane ameachwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya nchi hiyo.Varane hajajumuishwa kwenye kikosi kitachoshiriki michuano ijayo…
Continue Reading....Author: Yohana Chance
Azam Fc Kama Arsenal Vile, Wafungua Duka la Kisasa
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, imezidi kujiendesha kisasa zaidi baada ya leo kuandika historia mpya ya ufunguzi wa duka lake la…
Continue Reading....Je Yanga Sc Kuing’oa TP Mazembe ?
Droo ya kupanga makundi ya timu zitakazo chuana kuwania kufuzu hatua ya nusu fainali ya kombe la shirikisho Afrika imefanyika leo, huku wawakilishi wa Tanzania…
Continue Reading....Viingilio Mchezo wa FA Vitajwa, Buku Tano Tu
Fainali za Kombe la Shirikisho maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) zinatarajiwa kufanyika kesho Mei 25, 2016 kwa kuzikutanisha timu za Young Africans na…
Continue Reading....FIFA Timua Timua ya Majipu Imemkumba Naibu Katibu
Shirikisho la soka duniani FIFA limemtimua naibu katibu wake Markus Kattner kwa kujihusisha na ukiukwaji wa matumizi ya siri ya mamilioni ya dola. Kattnet raia…
Continue Reading....Israel Nkongo Kutoa Maamuzi Mchezo wa Yanga na Azam
Mwamuzi mahiri nchini, Israel Mujuni Nkongo wa Dar es Salaam, Jumatano Mei 25, 2016 ameteuliwa kuwa mwamuzi atakayechezesha mchezo wa fainali za Kombe la Shirikisho…
Continue Reading....