Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Yohana Chance
  • Page 45

Author: Yohana Chance

Waziri Mkuu wa Uingereza Atangaza Kujiuzulu

Posted on: June 24, 2016June 24, 2016 - Yohana Chance
Waziri Mkuu wa Uingereza Atangaza Kujiuzulu

Waziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, ametangaza atajiuzulu, baada ya kushindwa kuwashawishi raia wengi wa Uingereza, kusalia katika muungano wa Ulaya. Cameron akiwa amejawa na…

Continue Reading....

Serengeti Boys Kuikaribisha Shelisheli Taifa

Posted on: June 24, 2016 - Yohana Chance
Serengeti Boys Kuikaribisha Shelisheli Taifa

Timu ya soka ya Vijana ya Shelisheli, inatarajiwa kuwasili leo kwa ajili ya mchezo dhidi ya timu ya Serengeti Boys. Mchezo wa timu hizi mbili…

Continue Reading....

Victor Wanyama Sasa Rasmi Kuichezea Tottenham

Posted on: June 24, 2016 - Yohana Chance
Victor Wanyama Sasa Rasmi Kuichezea Tottenham

Kiungo na Nahodha wa Harambee stars Victor Wanyama amekamilisha rasmi uhamisho wake wa kwenda Tottenham akitokea Southampton kwa ada ya uhamisho ya paundi milioni 11.…

Continue Reading....

Arsenal Kwa Vardy Ndio Basi Tena, Leicester Yampa Mkataba Mnono

Posted on: June 23, 2016 - Yohana Chance
Arsenal Kwa Vardy Ndio Basi Tena, Leicester Yampa Mkataba Mnono

Mshambuliaji wa Uingereza na Leicester Jamie Vardy amekubali kusaini Mkataba mpya na viongozi wa ligi ya Uingereza Leicester. Leicester imesema kuwa mchezaji huyo wa miaka…

Continue Reading....

Rais Dk Magufuli Ahudhuria Maadhimisho ya Miaka 50 ya Benki Kuu Tanzania

Posted on: June 23, 2016 - Yohana Chance
Rais Dk Magufuli Ahudhuria Maadhimisho ya Miaka 50 ya Benki Kuu Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Joseph Magufuli akizindua sarafu maalumu ya shilingi 50,000/- kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya benki…

Continue Reading....

Chile Uso Kwa Uso na Argentina Fainali ya Copa America

Posted on: June 23, 2016 - Yohana Chance
Chile Uso Kwa Uso na Argentina Fainali ya Copa America

Katika Copa Amerika timu ya Chile imeiambaratisha Colombia kwa kuifunga magoli 2-0 katika Nusu Fainali Alfajiri ya leo Uwanja wa Soldier Field mjini Chicago, Illinois,…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari