Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Yohana Chance
  • Page 26

Author: Yohana Chance

Marekani Waanza Kubeba Medali za Olimpiki

Posted on: August 6, 2016 - Yohana Chance
Marekani Waanza Kubeba Medali za Olimpiki

Mmarekani Ginny Thrasher amekuwa mwanamichezo wa kwanza kushinda dhahabu katika Michezo ya Olimpiki Rio baada ya kutwaa ushindi katika shindano la kulenga shahaba kwa bunduki…

Continue Reading....

Azam Fc Wavuta Vifaa Vipya Kuimalisha Ulinzi

Posted on: August 6, 2016 - Yohana Chance
Azam Fc Wavuta Vifaa Vipya Kuimalisha Ulinzi

KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, leo jioni imeingia mkataba na mabeki wawili, Mghana Daniel Amoah na Mzimbabwe, Bruce Kangwa, kwa ajili…

Continue Reading....

Sherehe za Michuano ya Olimpiki Ndani ya Jiji la Rio Brazil

Posted on: August 6, 2016August 6, 2016 - Yohana Chance
Sherehe za Michuano ya Olimpiki Ndani ya Jiji la Rio Brazil

5.50am:Na mwenge wa Olympic uliowasili katika uwanja wa Mariccana unapokezwa aliyekuwa mwanariadha wa mbio za Marathon nchini Brazil Vanderlei Cordeiro de Lima – Ambaye anauwasha…

Continue Reading....

Jeuri ya Fedha Yaanza Kutema cheche Msimbazi wavuta Mshambuliaji

Posted on: August 4, 2016 - Yohana Chance
Jeuri ya Fedha Yaanza Kutema cheche Msimbazi wavuta Mshambuliaji

SIKU chachea baada ya mfanyabiashara maarufu nchini na mwanachama wa Simba SC, Mohammed Dewji ‘Mo’ kuichangia klabu hiyo shilingi milioni 100 za usajili, hatimaye wamefanikiwa…

Continue Reading....

Ahmed Musa wa Leicester City Apiga Mbili mwenyewe Mbele ya Barcelona

Posted on: August 4, 2016 - Yohana Chance
Ahmed Musa wa Leicester City Apiga Mbili mwenyewe Mbele ya Barcelona

Mchezaji ghali zaidi kununuliwa na Leicester City Ahmed Musa, aliyenunuliwa pauni milioni 16 na kuvunja rekodi ya klabu hiyo, amewafungia mabao yote mawili katika mechi…

Continue Reading....

Masaa Machache Yasalia Kabla Pazi la Olimpiki Kufunguka

Posted on: August 4, 2016 - Yohana Chance
Masaa Machache Yasalia Kabla Pazi la Olimpiki Kufunguka

Mashindano ya Olimpiki mjini Rio kufunguliwa rasmi kesho Ijumaa, lakini hali bado haijakaa vizuri katika mazingira ya michezo hiyo. Vilabu mbali mbali barani Ulaya vinajiweka…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari