Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Yohana Chance
  • Page 2

Author: Yohana Chance

Leicester City Yatwaa Tuzo ya Klabu Bora

Posted on: December 22, 2016 - Yohana Chance
Leicester City Yatwaa Tuzo ya Klabu Bora

Klabu ya soka ya Leicester imeshinda tuzo ya timu bora ya mwaka kwa kuwashangaza wengi waliposhinda ligi ya Uingereza. The Foxes kama inavyojiita ilishinda tuzo…

Continue Reading....

Infano Awapigia Debe Urusi Kombe la Dunia

Posted on: December 22, 2016 - Yohana Chance
Infano Awapigia Debe Urusi Kombe la Dunia

Rais wa FIFA Gianni Infantino amefuta uwezekano wa kuipokonya Urusi kibali cha kuandaa Dimba la Kombe la Dunia 2018 kufuatia matokeo ya karibuni ya ripoti…

Continue Reading....

KCB Yatoa Msaada wa Milioni 48 Kwenye Ujenzi

Posted on: December 22, 2016 - Yohana Chance
KCB Yatoa Msaada wa Milioni 48 Kwenye Ujenzi

Meneja wa Benki ya KCB tawi la Arusha TFA Hogla Laizer (kulia) akikabidhi Msaada wa hundi ya shilingi milioni 48 kwa mkurugenzi wa shirika la…

Continue Reading....

TFF Yaweka Masharti Ligi Kuu Bongo

Posted on: December 17, 2016 - Yohana Chance
TFF Yaweka Masharti Ligi Kuu Bongo

Duru la Pili la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inatarajiwa kuanza kesho Jumamosi Desemba 17 kwa michezo minne kabla ya michezo mingine minne kufanyika…

Continue Reading....

Oscar Kuwapiku Mesi, Ronaldo Kimpunga

Posted on: December 17, 2016December 17, 2016 - Yohana Chance
Oscar Kuwapiku Mesi, Ronaldo Kimpunga

Mchezaji wa Chelsea Oscar anatarajiwa kuwa mchezaji soka anayelipwa pesa nyingi zaidi duniani atakapohamia Ligi Kuu ya Uchina mwezi Januari. Shanghai SIPG wanatarajiwa kulipa £60m…

Continue Reading....

Prof. Mgaya Ateuliwa Kuwa Mkurugenzi Mkuu NIMR

Posted on: December 17, 2016 - Yohana Chance
Prof. Mgaya Ateuliwa Kuwa Mkurugenzi Mkuu NIMR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 17 Desemba, 2016 amemteua Prof. Yunus D. Mgaya kuwa Mkurugenzi Mkuu wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari