Baada ya kushuhudia michezo mbali mbali ya Ligi kuu nchini Uingereza ikiendelea Mwishoni mwa Wiki, ligi hiyo inatarajia kuendelea tena leo jumatatu pale Arsenal itakapo…
Continue Reading....Author: Yohana Chance
Kipute Ligi ya Mkoa wa Dar Kuanza Leo
Michuano ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam kwa msimu wa mwaka 2015/2016 inaanza kutimua vumbi Leo Disemba 21,kwa michezo minne kupigwa katika viwanja…
Continue Reading....Real Madrid Wampiga Mtu Bao 10
Klabu ya soka ya Real Madrid iliifanikiwa kuifunga Timu ya Rayo Vallecano Bao 10-2 katika Mechi ya ligi kuu ya Hispania Madrid walianza kufunga mabao…
Continue Reading....Barcelona Watwaa Ubingwa Kombe la Klabu Bingwa
Barcelona ndio mabingwa wa dunia wa 2015 wa kombe la klabu bingwa,Mabingwa hao wa Uhispania waliibuka washindi baada ya kuilaza River Plate 0-3 katika fainali…
Continue Reading....Messi Kuikosa Fainali Michuano ya Kombe la Vilabu
Mshambuliaji wa klabu ya Barcelona Leonel Messi yupo hati hati kukosa mchezo wa fainali ya michuano ya kombe la dunia la vilabu inayofanyika Nchini Japan…
Continue Reading....Manchester United Yapigwa, Chelsea Oyeeee
Klabu ya Leicester City imeendelea kujiweka katika mzingira mazuri katika kulitwa ligi kuu ya Uingereza Msimu Huuu baada ya kuisambaratisha Everton mabao 3-2 Nayo Chelsea…
Continue Reading....