Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Yohana Chance
  • Page 164

Author: Yohana Chance

Manchester United Kuikabili Derby Country FA Cup

Posted on: January 29, 2016 - Yohana Chance
Manchester United Kuikabili Derby Country FA Cup

Klabu ya soka ya Manchester United, watajitupa ugenini katika dimba la iPro kuwakabili Derby County, katika hatua ya nne ya kombe la FA. Man United…

Continue Reading....

Michael Jackson Apata Mrithi Wa Kazi Zake

Posted on: January 29, 2016 - Yohana Chance
Michael Jackson Apata Mrithi Wa Kazi Zake

Muigizaji wa filamu kutoka nchini Uingereza Joseph Fiennes, amekiri kuwa alishangazwa na kitendo cha kumuigiza mfalme wa muziki aina ya POP, Michael Jackson katika mchezo…

Continue Reading....

Manchester City Yapata Pigo, Bruyne nje Wiki Sita

Posted on: January 29, 2016 - Yohana Chance
Manchester City Yapata Pigo, Bruyne nje Wiki Sita

Kiungo wa Manchester City, Kevin de Bruyne, atakua nje ya dimba kwa muda wa wiki sita baada ya kuumia goti siku ya Jumatano. De Bruyne…

Continue Reading....

Shule ya Lowassa Yanusurika Kuteketea Kwa Moto

Posted on: January 28, 2016January 28, 2016 - Yohana Chance
Shule ya Lowassa Yanusurika Kuteketea Kwa Moto

Bweni la wanafunzi katika shule ya sekondari ya Edward Lowasa iliyopo wilayani Monduli mkoani Arusha limeteketea kwa moto na wanafunzi zaidi ya 70 wa kidato…

Continue Reading....

Watu 30 Wanusurika Kufa Maji Mkoani Morogoro

Posted on: January 28, 2016 - Yohana Chance
Watu 30 Wanusurika Kufa Maji Mkoani Morogoro

Kivuko cha Mto Kilombero Mkoani Morogoro Kimezama kikiwa na abiria zaidi ya 30 na magari matatu. Mkuu wa wilaya ya Kilombero , Bw Leph Gembe…

Continue Reading....

Suarez, Pique na Neymer Waipeleka Barcelona Nusu Fainali

Posted on: January 28, 2016 - Yohana Chance
Suarez, Pique na Neymer Waipeleka Barcelona Nusu Fainali

Mabingwa watetezi wa kombe la Mfalme Barcelona wamesonga mbele kwenye hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo. Barcelona waliwachapa Athletic Bilbao kwa mabao 3-1 kwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari