Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Yohana Chance
  • Page 16

Author: Yohana Chance

Kaseja Akumbukwa Soka la Ufukweni

Posted on: September 12, 2016 - Yohana Chance
Kaseja Akumbukwa Soka la Ufukweni

Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Ufukweni, John Mwansasu amemuita Kipa wa Mbeya City ya Mbeya, Juma Kaseja Juma kuongeza…

Continue Reading....

Ratiba ya Ligi Daraja la Pili Sasa Hadharani

Posted on: September 12, 2016 - Yohana Chance
Ratiba ya Ligi Daraja la Pili Sasa Hadharani

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetoa orodha ya makundi manne na timu zitakazoshiriki Ligi Daraja la Poli ((SDL) inayotarajiwa kuanza baadaye, mwaka huu.…

Continue Reading....

Simba na Azam Kukutana Septemba 21

Posted on: September 12, 2016 - Yohana Chance
Simba na Azam Kukutana Septemba 21

Mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) kati ya Azam FC na Simba ya Dar es Salaam, utafanyika Jumatano Septemba 21, 2016 badala…

Continue Reading....

Manchester City Yazima Ndoto za Mourihno

Posted on: September 10, 2016 - Yohana Chance
Manchester City Yazima Ndoto za Mourihno

Manchester City imefanikiwa kuifunga mabao 2-1 na Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao ya timu ya…

Continue Reading....

Yanga Yaipumulia Simba, Azamu Azidi Kuchanja Mbuga

Posted on: September 10, 2016 - Yohana Chance
Yanga Yaipumulia Simba, Azamu Azidi Kuchanja Mbuga

YANGA SC imezinduka katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, baada ya kuichapa Maji Maji ya Songea mabao 3-0 jioni ya leo Uwanja wa Uhuru,…

Continue Reading....

Jack Wilshere Hang’oleki Atafia Arsenal

Posted on: September 9, 2016 - Yohana Chance
Jack Wilshere Hang’oleki Atafia Arsenal

Meneja Arsene Wenger amesema matumaini yake ni kwamba kiungo wa kati Jack Wilshere, ambaye kwa sasa ametumwa Bournemouth kwa mkopo, atasalia Arsenal maisha yake ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari