Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Yohana Chance
  • Page 135

Author: Yohana Chance

Samatta Atupia Bao lake la Kwanza Akitokea Benchi

Posted on: February 28, 2016 - Yohana Chance
Samatta Atupia Bao lake la Kwanza Akitokea Benchi

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta amefunga bao lake la kwanza katika klabu yake mpya, KRC Genk katika mchezo wa Ligi Kuu ya…

Continue Reading....

Simba Yagawa Dozi na Kuifuata Yanga Robo Fainali Michuano ya FA

Posted on: February 28, 2016February 28, 2016 - Yohana Chance
Simba Yagawa Dozi na Kuifuata Yanga Robo Fainali Michuano ya FA

SIMBA SC imefanikiwa kwenda Robo Fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Kombe la Azam Sports Federation baada ya…

Continue Reading....

Rais Magufuli Awasili Arusha Kuongoza Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Afrika Mshariki

Posted on: February 28, 2016February 28, 2016 - Yohana Chance
Rais Magufuli  Awasili Arusha Kuongoza Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Afrika Mshariki

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Daudi Felix Ntibenda mara baada ya…

Continue Reading....

Baraza la Madiwani wa Halamshauri ya Manispaa ya Moshi Wakutana na Kujadili Mustakabali wa Maendeleo

Posted on: February 28, 2016 - Yohana Chance
Baraza la Madiwani wa Halamshauri ya Manispaa ya Moshi Wakutana na Kujadili Mustakabali wa Maendeleo

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi,Jesh Lupembe akizungumza katika kikao cha baraza la Madiwani wa Halamshauri hiyo Baadhi ya watendaji wa Halmashari ya Manispaa…

Continue Reading....

Ligi ya Ujerumani : Marefa na makocha Wagongana Kauli

Posted on: February 27, 2016 - Yohana Chance
Ligi ya Ujerumani : Marefa na makocha Wagongana Kauli

Bruno Labaddia na Thomas Schaaf wote wanatumai kuwa kunaweza kuwa na mawasiliano bora baina ya makocha waBundesliga na marefa kutokana na hatua ya kupigwa marufuku…

Continue Reading....

Chelsea Yapeta Ligi Kuu Uingereza Yaisambaratisha Southamptom 2-1

Posted on: February 27, 2016 - Yohana Chance
Chelsea Yapeta Ligi Kuu Uingereza Yaisambaratisha Southamptom 2-1

Timu ya Chelsea Imefanikiwa kupata ushindi wa Mabao 2-1 katika mwendelezo wa ligi kuu ya Uingereza, baada ya kutoka nyuma kwa bao la mapema la…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari