Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Yohana Chance
  • Page 125

Author: Yohana Chance

Aliyechezesha Simba na Yanga, Sasa Kucezesha Kombe la Dunia

Posted on: March 10, 2016 - Yohana Chance
Aliyechezesha Simba na Yanga, Sasa Kucezesha Kombe la Dunia

Mwamuzi wa kike wa Kimataifa wa Tanzania mwenye beji ya FIFA, Jonesia Rukyaa ameteuliwa kuungana na waamuzi kutoka nchini Kenya kuchezesha mchezo wa kuwania kufuzu…

Continue Reading....

Mohamed Mkopi wa Prison Mchezaji Bora wa Mwezi Apewa Milioni Moja

Posted on: March 10, 2016 - Yohana Chance
Mohamed Mkopi wa Prison Mchezaji Bora wa Mwezi Apewa Milioni Moja

Mshambuliaji Mohamed Mkopi wa timu ya Tanzania Prisons amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Februari kwa Ligi Kuu ya Vodacom msimu huu wa 2015/2015. Mkopi katika…

Continue Reading....

Mkutano Mkuu wa TFF Kufanyika Tanga Kwa Siku Mbili

Posted on: March 10, 2016 - Yohana Chance
Mkutano Mkuu wa TFF Kufanyika Tanga Kwa Siku Mbili

Mkutano Mkuu wa mwaka wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) uliokuwa ufanyike mwezi Disemba mwaka jana sasa utafanyika wikiendi hii Jumamosi na Jumapili…

Continue Reading....

Watanzania Wahimizwa Kuthamini Miundombinu ya Michezo

Posted on: March 8, 2016March 8, 2016 - Yohana Chance
Watanzania Wahimizwa Kuthamini Miundombinu ya Michezo

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia James Wambura akisalimiana na Meneja wa Uwanja wa Taifa Rish Urio (kulia) walipokutana katika ziara…

Continue Reading....

Tanzania na Japan Kuanzisha Ushirikiano Katika Matumizi ya TEHAMA

Posted on: March 8, 2016 - Yohana Chance
Tanzania na Japan Kuanzisha Ushirikiano Katika Matumizi ya TEHAMA

Na. Aron Msigwa – MAELEZO Tanzania na Japan zinatarajia kuanzisha ushirikiano katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa kuwaunganisha wafanyabishara na vijana…

Continue Reading....

Waziri Mbarawa Awataja TBA Kuzingatia Thamani ya Fedha

Posted on: March 8, 2016 - Yohana Chance
Waziri Mbarawa Awataja TBA Kuzingatia Thamani ya Fedha

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, ameutaka Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kuzingatia thamani ya fedha kwa kila mradi wa ujenzi wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari