Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Yohana Chance
  • Page 119

Author: Yohana Chance

Wenger Awatoa Hofu Mashabiki Kuhusu Mchezo wa Leo Dhidi ya Barcelona

Posted on: March 16, 2016March 16, 2016 - Yohana Chance
Wenger Awatoa Hofu Mashabiki Kuhusu Mchezo wa Leo Dhidi ya Barcelona

Meneja wa Klabu ya Arsena Mzee Arsene Wenger amesema kuwa aliwaacha mastaa wake wengi wa Kikosi cha kwanza Jumapili, Wakati timu hiyo ilipocheza na dhidi…

Continue Reading....

Ligi Kuu ya Vodacom Kuendelea Leo

Posted on: March 16, 2016 - Yohana Chance
Ligi Kuu ya Vodacom Kuendelea Leo

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania (VPL) inatarajiwa kuendelea leo Jumatano kwa mchezo mmoja, ambapo Azam FC watawakaribisha Stand United katika uwanja wa Azam Complex Chamazi.…

Continue Reading....

Manchester City, Atletico Zatinga Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya

Posted on: March 16, 2016 - Yohana Chance
Manchester City, Atletico Zatinga Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya

Jana usiku ligi ya Mabingwa ulaya iliendelea kwa micheozo miwili kupigwa ambapo Manchester City walikuwa wakicheza na Dynamo Kiev, mchezo wa marudiano hatua ya 16…

Continue Reading....

Huu Mziki wa Leicester City Hakuna wa Kuuzima EPL, Wavunja Rekodi ya Benitez

Posted on: March 15, 2016 - Yohana Chance
Huu Mziki wa Leicester City Hakuna wa Kuuzima EPL, Wavunja Rekodi ya Benitez

Leicester City wamepanua wigo wa uongozi wao kileleni mwa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kupata ushindi dhidi ya Newcastle. Lecester walilaza Newcastle, waliokuwa wakicheza…

Continue Reading....

Zlatan Kutimukia Marekani Akifuata Njia za Kina Henry na Beckham

Posted on: March 15, 2016March 15, 2016 - Yohana Chance
Zlatan Kutimukia Marekani Akifuata Njia za Kina Henry na Beckham

Mshambuliaji matata kutoka Sweden Zlatan Ibrahimovic amesema kwamba kuna uwezekano mkubwa kwake kuondoka Paris St-Germain majira ya joto yajayo. Hii ni baada yake kuwasaidia kutwaa…

Continue Reading....

Wenger Awashutumu Mashabiki Wanaotaka Aondoke

Posted on: March 15, 2016 - Yohana Chance
Wenger Awashutumu Mashabiki Wanaotaka Aondoke

Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amesema mjadala unaotokea kila mara kuhusu hatima yake katika klabu hiyo “umeanza kuwa upuuzi”. Mfaransa huyo alikuwa akizungumza baada ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari