Ndani ya uwanja wa Old Trafford leo ni marudiano ya Mahasimu wakubwa wa Soka la England ambapo Man United wanatakiwa waifunge Liverpool 3-0 ili wasonge…
Continue Reading....Author: Yohana Chance
Barcelona Waifanya Arsenal Academy Yao Kila Mwaka
Meneja wa Arsenal Arsene Wenger anaamini vijana wake walicheza vizuri uwanjani Nou Camp licha ya kulazwa 3-1 na Barcelona Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya. Arsenal…
Continue Reading....Bayern Yapenya Robo Fainali UEFA Kwa Ushindi wa Usiku
Klabu ya Bayern Munich imeibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Juventus ya Italia. Mabao ya Bayern yamefungwa na Lewandowski, Thomas Muller, Thiago Alcantara…
Continue Reading....TFF Yakanusha Taarifa Inayodai Wamepata Hasara ya Milioni 500
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesikitishwa na taarifa za upotoshaji za chombo kimoja cha habari ambacho mmoja wa watendaji alipata fursa ya kuhudhuria…
Continue Reading....Kilichomkuta Diego Costa Huhitaji Kusimuliwa
Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa ameshtakiwa kwa utovu wa nidhamu baada yake kulishwa kadi nyekundu Jumamosi wakati wa mechi dhidi ya Everton. Mhispania huyo alifukuzwa…
Continue Reading....Twiga Stars Kuondoka Ijumaa Kwenda Kuwavaa Wazimbabwe
Timu ya Taifa ya Wanawake ya Mpira wa Miguu “Twiga Stars” inatarajiwa kusafiri siku ya Ijumaa kuelekea nchini Zimbabwe kwa ajili ya mchezo wake wa…
Continue Reading....