Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Yohana Chance
  • Page 118

Author: Yohana Chance

Vita Juu ya Vita Ndani ya Old Traffod Europa Ligi

Posted on: March 17, 2016 - Yohana Chance
Vita Juu ya Vita Ndani ya Old Traffod Europa Ligi

Ndani ya uwanja wa Old Trafford leo ni marudiano ya Mahasimu wakubwa wa Soka la England ambapo Man United wanatakiwa waifunge Liverpool 3-0 ili wasonge…

Continue Reading....

Barcelona Waifanya Arsenal Academy Yao Kila Mwaka

Posted on: March 17, 2016 - Yohana Chance
Barcelona Waifanya Arsenal Academy Yao Kila Mwaka

Meneja wa Arsenal Arsene Wenger anaamini vijana wake walicheza vizuri uwanjani Nou Camp licha ya kulazwa 3-1 na Barcelona Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya. Arsenal…

Continue Reading....

Bayern Yapenya Robo Fainali UEFA Kwa Ushindi wa Usiku

Posted on: March 17, 2016 - Yohana Chance
Bayern Yapenya Robo Fainali UEFA Kwa Ushindi wa Usiku

Klabu ya Bayern Munich imeibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Juventus ya Italia. Mabao ya Bayern yamefungwa na Lewandowski, Thomas Muller, Thiago Alcantara…

Continue Reading....

TFF Yakanusha Taarifa Inayodai Wamepata Hasara ya Milioni 500

Posted on: March 16, 2016 - Yohana Chance
TFF Yakanusha Taarifa Inayodai Wamepata Hasara ya Milioni 500

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesikitishwa na taarifa za upotoshaji za chombo kimoja cha habari ambacho mmoja wa watendaji alipata fursa ya kuhudhuria…

Continue Reading....

Kilichomkuta Diego Costa Huhitaji Kusimuliwa

Posted on: March 16, 2016March 16, 2016 - Yohana Chance
Kilichomkuta Diego Costa Huhitaji Kusimuliwa

Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa ameshtakiwa kwa utovu wa nidhamu baada yake kulishwa kadi nyekundu Jumamosi wakati wa mechi dhidi ya Everton. Mhispania huyo alifukuzwa…

Continue Reading....

Twiga Stars Kuondoka Ijumaa Kwenda Kuwavaa Wazimbabwe

Posted on: March 16, 2016 - Yohana Chance
Twiga Stars Kuondoka Ijumaa Kwenda Kuwavaa Wazimbabwe

Timu ya Taifa ya Wanawake ya Mpira wa Miguu “Twiga Stars” inatarajiwa kusafiri siku ya Ijumaa kuelekea nchini Zimbabwe kwa ajili ya mchezo wake wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari