Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Yohana Chance
  • Page 117

Author: Yohana Chance

Liverpool Wakatisha Matumaini ya Mancherster United

Posted on: March 18, 2016 - Yohana Chance
Liverpool Wakatisha Matumaini ya Mancherster United

Michuano ya Europa League imeendelea tena usiku wa kuamkia leo kwa michezo minane ambapo Liverpool wametinga robo fainali baada ya kutoka sare ya 1-1 na…

Continue Reading....

Mwanamuzi wa Nyimbo za Injili Malawi Afariki Dunia

Posted on: March 18, 2016 - Yohana Chance
Mwanamuzi wa Nyimbo za Injili Malawi Afariki Dunia

Mwanamuziki mashuhuri wa nyimbo za Injili nchini Malawi Grace Chinga amefariki. Rafiki wa karibu wa familia yake, Pasta Chris Suya, amenukuliwa na gazeti la gazeti…

Continue Reading....

Kuwaona Yanga Dhidi ya APR ni Buku Tano

Posted on: March 18, 2016March 18, 2016 - Yohana Chance
Kuwaona Yanga Dhidi ya APR ni Buku Tano

TIKETI za mchezo wa marudiano Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika baina ya wenyeji, Yanga SC na APR ya Rwanda zitaanza kuuzwa siku ya…

Continue Reading....

Uongozi wa Simba Wamdondoshea Isihaka Kombola

Posted on: March 17, 2016 - Yohana Chance
Uongozi wa Simba Wamdondoshea Isihaka Kombola

Klabu ya Simba imemvua umakamu nahodha beki wake wa kati Hassan Isihaka kutokana na kitendo chake cha utovu wa nidhamu kwa kocha wa klabu hiyo…

Continue Reading....

Usingizi Wamponza Nicklas Bendtner Apigwa Faini

Posted on: March 17, 2016 - Yohana Chance
Usingizi Wamponza Nicklas Bendtner Apigwa Faini

Mshambuliaji wa Wolfsburg Nicklas Bendtner amepigwa faini baada ya kuchelewa kufika mazoezini kwa sababu ya usingizi. Bendtner, ambaye aliwahi kuichezea Arsenal ya Uingereza, alichelewa kwa…

Continue Reading....

Azam Fc Mdogo Mdogo Kulifuta Kombe la Ligi Kuu Tanzania Bara

Posted on: March 17, 2016 - Yohana Chance
Azam Fc Mdogo Mdogo Kulifuta Kombe la Ligi Kuu Tanzania Bara

Azam FC imeutumia vyema mchezo wake wa kiporo kwa kuichapa Stand United ya Shinyanga kwa bao 1-0 kwenye mchezo pekee wa ligi uliosukumwa kwenye uwanjawa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari