Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Yohana Chance
  • Page 102

Author: Yohana Chance

Dk. Shein Amuapisha Makamo wa Pili wa Rais.

Posted on: March 31, 2016 - Yohana Chance
Dk. Shein Amuapisha Makamo wa Pili wa Rais.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein jana amemuapisha Balozi Seif Ali Iddi kuwa Makamu wa Pili wa Rais…

Continue Reading....

Serikali Yajipanga Kusaidia Wakulima Dhidi ya Mabadiliko ya Tabia ya Nchi

Posted on: March 31, 2016 - Yohana Chance
Serikali Yajipanga Kusaidia Wakulima Dhidi ya Mabadiliko ya Tabia ya Nchi

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi imejipanga kuhakikisha inawasaidia wakulima kupambana na mabadiliko ya tabia ya nchi ambayo yanaonekana kuendelea kuikabili…

Continue Reading....

Messi Azua Balaa Nchini Misri Baada ya…….

Posted on: March 31, 2016 - Yohana Chance
Messi Azua Balaa Nchini Misri Baada ya…….

Hatua ya mchezaji maarufu wa soka duniani Lionel Messi kutoa viatu vyake viuzwe kusaidia watu wasiojiweza imeibua mjadala mkali nchini Misri. Messi alifanya hivyo akidhani…

Continue Reading....

Baada ya Kichapo Roy Hodgson Awajia Juu Wachezaji

Posted on: March 31, 2016 - Yohana Chance
Baada ya Kichapo Roy Hodgson Awajia Juu Wachezaji

Kocha wa wa timu ya taifa ya Uingereza, Roy Hodgson amesikitishwa na kikosi chake kukosa ubunifu baada ya kufungwa 2-1 Uholanzi. Kipigo hicho kimekuja baada…

Continue Reading....

Valencia Yamtimua Gary Neville Kwa Matokeo Mabovu

Posted on: March 31, 2016March 31, 2016 - Yohana Chance
Valencia Yamtimua Gary Neville Kwa Matokeo Mabovu

Beki wa zamani wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza Gary Neville amefutwa kazi na klabu ya Valencia ya Uhispania baada…

Continue Reading....

Kocha wa Aston Villa Asusia Timu

Posted on: March 31, 2016 - Yohana Chance
Kocha wa Aston Villa Asusia Timu

Kocha wa kilabu ya Aston Villa Remi Garde ameondoka katika kilabu hiyo kupitia maelewano baada ya kukinoa kikosi hicho kwa siku 147 katika kilabu hiyo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari