Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 56

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

JK AFANYA MAZUNGUMZO NA KOFI ANNAN

Posted on: April 1, 2011April 1, 2011 - Rungwe Jr.
JK AFANYA MAZUNGUMZO NA KOFI ANNAN

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mazungumzo na katibu mkuu wa zamani wa Umoja Wa Mataifa, Kofi Annan Ikulu jijini Dar Es Salaam. Source: Michuzi Blog

Continue Reading....

HUYU NI YULE MH.KOMBA ANAYELALA BUNGENI?

Posted on: March 30, 2011March 30, 2011 - Rungwe Jr.
HUYU NI YULE MH.KOMBA ANAYELALA BUNGENI?

 Yaani Mh. Komba angekuwa anafuatilia miswada Bungeni kwa umakini kama anavyofuatilia hapo…..Mbona tungekuwa mbali. Kuweka kumbukumbu sahihi, embu angalia picha ya chini jinsi Mheshimiwa huyu…

Continue Reading....

MAKAMU WA RAIS AKAMILISHA ZIARA YAKE MKOANI ARUSHA LEO

Posted on: March 29, 2011March 30, 2011 - Rungwe Jr.
MAKAMU WA RAIS AKAMILISHA ZIARA YAKE MKOANI ARUSHA LEO

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. DK. Mohamed Gharib Bilal akiwa katika vazi la Mgolole la heshima na uongozi la…

Continue Reading....

NANI BADO HAJAENDA KUMUONA ‘BABU’ LOLIONDO?

Posted on: March 23, 2011April 2, 2011 - Rungwe Jr.
NANI BADO HAJAENDA KUMUONA ‘BABU’ LOLIONDO?

  Mchungaji Mstaafu Ambilikile Masapile akimpa dawa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) William Lukuvi na Rosemary Nyerere baada ya Lukuvi…

Continue Reading....

CUF YASISITIZA MAANDAMANO YA CHADEMA NI UCHOCHEZI

Posted on: March 23, 2011 - Rungwe Jr.
CUF YASISITIZA MAANDAMANO YA CHADEMA NI UCHOCHEZI

Na Mwandishi wetu, Tanga. CHAMA cha Wananchi (CUF) kimewaasa watanzania kuepuka kushiriki maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwa ni ya uchochezi yenye…

Continue Reading....

TUNYWE VIKOMBE BILA KUPOTEZA MWELEKEO!

Posted on: March 22, 2011March 22, 2011 - Rungwe Jr.
TUNYWE VIKOMBE BILA KUPOTEZA MWELEKEO!

      Ni siku chache tu zimepita toka nimsikie Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Ndugu James Mbatia akielezea hofu na masikitiko yake juu ya hili suala ninaloita kupoteza…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari