Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 52

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Timu ya soka Tanzania under 23 yawasili Lagos

Posted on: June 17, 2011 - Rungwe Jr.
Timu ya soka Tanzania under 23 yawasili Lagos

Na Boniface Wambura, Lagos Timu ya U23 imewasili salama hapa saa 6.30 mchana kwa ndege ya Kenya Airways kabla ya kuunganisha ndege ya Concord Airlines…

Continue Reading....

Press Conference yahairishwa!

Posted on: June 17, 2011June 17, 2011 - Rungwe Jr.
Press Conference yahairishwa!

    Press Conference iliyopangwa kufanyika leo tarehe 17 Juni, 2011 katika Ofisi za Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu imepangwa kufanyika kesho tarehe 18…

Continue Reading....

UTEUZI WA NAIBU GAVANA BENKI KUU YA TANZANIA

Posted on: June 17, 2011 - Rungwe Jr.
UTEUZI WA NAIBU GAVANA BENKI KUU YA TANZANIA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Daktari Natu El-Maamry Mwamba kuwa Naibu Gavana wa Benki kuu ya Tanzania.…

Continue Reading....

Rais Kikwete atolea maelezo tatizo la ajira.

Posted on: June 17, 2011June 17, 2011 - Rungwe Jr.
Rais Kikwete atolea maelezo tatizo la ajira.

  Upungufu wa ajira hususan miongoni mwa vijana ni changamoto kubwa kwa nchi zinazoendelea kwa sababu ya uchumi wake kuwa mdogo na kukua polepole. Rais…

Continue Reading....

UFAFANUZI KUHUSU UCHAGUZI WA VILLA SQUAD FOOTBALL CLUB (VILLA)

Posted on: June 14, 2011 - Rungwe Jr.
UFAFANUZI KUHUSU UCHAGUZI WA VILLA SQUAD FOOTBALL CLUB (VILLA)

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 14 JUNI 2011 1.                   UTANGULIZI.   Hivi karibuni kumekuwa na maelezo mbalimbali katika vyombo vya habari kuhusu uchaguzi wa…

Continue Reading....

WACHAMBUAJI PAMBA WAGOMA KUNUNUA PAMBA!

Posted on: June 14, 2011 - Rungwe Jr.
WACHAMBUAJI PAMBA WAGOMA KUNUNUA PAMBA!

Na Baltazar Mashaka, TheHabari, MWANZA. BAADHI ya wachambuaji wa pamba mkoani hapa wametishia kugoma kununua pamba  kupinga kukatwa shilingi 100 kwa ajili ya kuchangia Mfuko…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari