Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 5

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Madereva Wetu Ndio Husababisha Misongamano Isiyo ya Lazima Barabarani!

Posted on: May 1, 2014May 1, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: ajali, daladala, Dar
Madereva Wetu Ndio Husababisha Misongamano Isiyo ya Lazima Barabarani!

Picha zinaonyesha magari (mara nyingi Daladala) yakiendeshwa upande wa gari zitokazo upande wa pili, maarufu kama “Kutanua”! Tabia hii imekuwa ikisababisha misongamano, isiyokuwa ya lazima…

Continue Reading....

Ujumbe wa Leo!

Posted on: May 1, 2014May 1, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: bajaji, bodaboda, Dar, Ujumbe
Ujumbe wa Leo!

Tumegundua hizi jumbe za mjini Dar huwa zinajibishana kwasababu kuna ujumbe mmoja (kwenye Bodaboda) tuliweka hapa ulikuwa unasema “Usije Mjini” na huu wa leo kwenye…

Continue Reading....

Wito Kwa Kina Baba Kuondoa Dhana Potofu!

Posted on: April 29, 2014April 29, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: daladala, Dar, kushirikiana, manispaa, mke, mume
Wito Kwa Kina Baba Kuondoa Dhana Potofu!

Maisha ya sasa kushirikiana kama picha zinavyoonyesha hapo juu, mke na mume kwakishirikiana kuuza vitumbua. Mke akichoma na mume akiwa anatoa huduma kwa wateja, ambao…

Continue Reading....

Ujumbe wa Leo!

Posted on: April 29, 2014April 29, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: Dar, mambo, mtoto, mwanao, shule
Ujumbe wa Leo!

Ujumbe upo wazi kabisa “Kama Jela Shule, Mpeleke Mwanao” Dar kweli Ina mambo! Picha na Mpiga Picha Maalum wa Thehabari, Dar

Continue Reading....

Msomaji Hachagui Shule, na Mchagua Shule Si Msomaji!

Posted on: April 26, 2014April 26, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: Dar, mwanafunzi, shule, wanafunzi
Msomaji Hachagui Shule, na Mchagua Shule Si Msomaji!

Hii shule ya chekechea ipo Goba jijini Dar, na taarifa tulizozipata ni kwamba Ina wanafunzi 50. Picha na Mpiga picha wetu Maalum.

Continue Reading....

Ujumbe Wa Leo!

Posted on: April 26, 2014April 26, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: kijana, kinondoni, mjini, Vijana
Ujumbe Wa Leo!

Hapo ni Kinondoni Mkwajuni, dereva wa Bodaboda, alinaswa na Mpiga picha wetu akiwa amelala juu ya pikipiki yake, bila shaka baada ya kuchoka kusubiri abiria…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari