Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 49

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Rais Ondimba wa Gabon aomba msaada wa kufundishwa Kiswahili!

Posted on: July 4, 2011 - Rungwe Jr.
Rais Ondimba wa Gabon aomba msaada wa kufundishwa Kiswahili!

   Na Salva Rweyemamu Tanzania imeombwa kuisaidia Gabon kubuni, kuanzisha na kusimamia mitaala inayofaa kuanzisha ufundishaji wa lugha ya Kiswahili katika shule za nchi hiyo…

Continue Reading....

Basketball News!!…Alpha Kisusi awarded scholarship to Canada

Posted on: July 1, 2011 - Rungwe Jr.
Basketball News!!…Alpha Kisusi awarded scholarship to Canada

  Alpha Kisusi, 19 years old boy, Basketballer currently playing for Vijana Basketball Club, Most Valuable Player (MVP) 2011 at our National Basketball League (NBL),…

Continue Reading....

Umoja wa wake wa marais wa Afrika watakiwa kupunguza vifo vya kinamama wajawazito na watoto

Posted on: July 1, 2011July 2, 2011 - Rungwe Jr.
Umoja wa wake wa marais wa Afrika watakiwa kupunguza vifo vya kinamama wajawazito na watoto

Na Anna Nkinda – Malabo, Equatorial Guinea Muungano wa Wake wa Marais wa Afrika wa Kupambana na Maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (OAFLA) umetakiwa kuhakikisha…

Continue Reading....

Bunduki haiwezi kumaliza matatizo yetu – JK

Posted on: July 1, 2011 - Rungwe Jr.
Bunduki haiwezi kumaliza matatizo yetu – JK

Malabo, Equatorial Guinea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameziambia Sudan na Sudan Kusini kuwa bunduki haiwezi kutoa majawabu ya…

Continue Reading....

Kikwete:Ukosefu wa ajira kwa vijana wa Afrika ni bomu linalosubiri kulipuka!

Posted on: July 1, 2011July 1, 2011 - Rungwe Jr.
Kikwete:Ukosefu wa ajira kwa vijana wa Afrika ni bomu linalosubiri kulipuka!

Malabo, Equatorial Guinea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa ukosefu mkubwa wa ajira na nafasi za kujiendeleza kwa…

Continue Reading....

Rais Kikwete aombwa kuendelea kuongoza ALMA

Posted on: July 1, 2011July 1, 2011 - Rungwe Jr.
Rais Kikwete aombwa kuendelea kuongoza ALMA

Malabo, Equatorial Guinea Viongozi  wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) wamemwomba Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuendelea kuongoza umoja wa wakuu hao unaopambana na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari