Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 45

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

ALL THEY WANTED WAS A THIRD BABY,BUT GOD DID DIFFERENTLY …

Posted on: July 20, 2011July 20, 2011 - Rungwe Jr.
ALL THEY WANTED WAS A THIRD BABY,BUT GOD DID DIFFERENTLY …

   

Continue Reading....

Wachezaji wa PSPF na Bunge wakijumuika pamoja kwenye chakula cha jioni baada ya mechi. Pt 1

Posted on: July 20, 2011 - Rungwe Jr.
Wachezaji wa PSPF na Bunge wakijumuika pamoja kwenye chakula cha jioni baada ya mechi. Pt 1

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa PSPF, Ndugu Patrick Mongella akiwakaribisha wabunge na wafanyakazi wa Bunge kwenye chakula cha jioni. Ndugu Patrick Mongella (PSPF) na Dyana Chilolo Mbunge wa…

Continue Reading....

Wachezaji wa PSPF na Bunge wakijumuika pamoja kwenye chakula cha jioni baada ya mechi. Pt 2

Posted on: July 19, 2011July 20, 2011 - Rungwe Jr.
Wachezaji wa PSPF na Bunge wakijumuika pamoja kwenye chakula cha jioni baada ya mechi. Pt 2

Wachezaji wakiwa kwenye utulivu mkubwa Mdau Rahim Hashim akiwa na furaha kubwa ingawa timu yake imeshindwa, bila shaka anatambua kuwa ‘asiyekubali kushindwa si mshindani’.    …

Continue Reading....

Siku timu ya soka ya Bunge ilivyonyakua Kombe!

Posted on: July 19, 2011July 19, 2011 - Rungwe Jr.
Siku timu ya soka ya Bunge ilivyonyakua Kombe!

Mbunge wa Sengerema, Mh. William Ngeleja akiwa anachekelea huku amenyanyua Kombe la ushindi juu, washrika wengine wakiwa wanashangilia. Jezi nambari Tano mgongoni Mh. Ngeleja akiyoyoma…

Continue Reading....

Hivi ndio mambo yalivyokuwa uwanjani kati ya PSPF na Timu ya Bunge!

Posted on: July 19, 2011July 21, 2011 - Rungwe Jr.
Hivi ndio mambo yalivyokuwa uwanjani kati ya PSPF na Timu ya Bunge!

        Picha ya juu na chini, Timu ya mpira wa Pete ya PSPF wakijiandaa kuanza mchezo wao na timu ya Bunge la…

Continue Reading....

Wafahamu baadhi ya wachezaji hatari wa kikosi cha PSPF!

Posted on: July 19, 2011July 19, 2011 - Rungwe Jr.
Wafahamu baadhi ya wachezaji hatari wa kikosi cha PSPF!

Wachezaji hatari wa timu ya Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), Rahim Hashim na Sudi Hamza wakiwa mazoezini  Wachezaji wa mpira wa Pete…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari