Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 43

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Bunge laambiwa nchi ipo hatarini!

Posted on: August 14, 2011 - Rungwe Jr.
Bunge laambiwa nchi ipo hatarini!

Zitto akumbushia vita ya Kagera Kilango: Serikali ichukue hatua Makamba: Itasababisha vurugu Mnyika: Kuna rushwa kubwa WAKATI kukiwa na taarifa za kuwapo mkono wa baadhi…

Continue Reading....

Mapenzi ni kuvumiliana!

Posted on: August 11, 2011 - Rungwe Jr.
Mapenzi ni kuvumiliana!

Naam, Wahenga waliwahi kusema “Mapenzi ni kuvumiliana.” Ni neema iliyoje kufika fainali ukiwa bado umemshika mkono umpendaye kama tuonavyo wazee hao pichani. Picha na mpiga picha maalum…

Continue Reading....

Rais Kikwete amuaga Rais wa Somalia

Posted on: August 10, 2011 - Rungwe Jr.
Rais Kikwete amuaga Rais wa Somalia

Rais wa Jamhuri ya Somalia, Mheshimiwa Sheikh Sharif Sheikh Ahmed, ameondoka nchini leo, Jumatano, Agosti 10, 2011 mwishoni mwa ziara yake ya siku mbili ya…

Continue Reading....

Kikombe cha Babu chashindwa kutibu Ukimwi!

Posted on: August 4, 2011 - Rungwe Jr.
Kikombe cha Babu chashindwa kutibu Ukimwi!

Na Paul Sarwatt, Arusha Waliokunywa wapimwa baada ya siku 90 Matokeo yaonyesha bado wana virusi Wailaumu Serikali ‘kubariki’ kikombe cha Babu MACHI 20 mwaka huu,…

Continue Reading....

Waheshimiwa Sitta na Mrema vipi tena?

Posted on: August 4, 2011August 4, 2011 - Rungwe Jr.
Waheshimiwa Sitta na Mrema vipi tena?

Hii ni hatari sana kwa maendeleo ya taifa!!!

Continue Reading....

Maonyesho ya Nane Nane Dodoma!

Posted on: August 4, 2011 - Rungwe Jr.
Maonyesho ya Nane Nane Dodoma!

   Afisa habari na uhusiano wa  Mfuko wa Pensheni (PPF) Edwin Kyungu akitoa maelezo kwa wanafunzi wa Kidato cha Tatu wa Shule ya Sekondari Wella…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari