Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 41

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

‘Bongo Starz’ Itafanikiwa kuwabwaga Ghana na Ivory Cost?

Posted on: August 29, 2011August 29, 2011 - Rungwe Jr.
‘Bongo Starz’ Itafanikiwa kuwabwaga Ghana na Ivory Cost?

Na Muandishi wetu, Los Angeles Timu ya Soka ya Watanzania waishio Los Angeles, “Bongo Starz” walikutana kwa mara nyingine tena jana siku ya Jumamosi kwa…

Continue Reading....

Ikulu yatolea maelezo sakata la Jairo

Posted on: August 26, 2011 - Rungwe Jr.
Ikulu yatolea maelezo sakata la Jairo

TAARIFA YA UFAFANUZI Tarehe 21 Julai, mwaka huu, 2011, Katibu Mkuu Kiongozi Bwana Phillemon Luhanjo, akitumia madaraka yake ya Mamlaka ya Nidhamu ya Watumishi wa…

Continue Reading....

Maonesho ya sita ya wajasiriamali wadogo Kanda ya Kusini

Posted on: August 26, 2011August 29, 2011 - Rungwe Jr.
Maonesho ya sita ya wajasiriamali wadogo Kanda ya Kusini

MAONESHO ya wajasiriamali wadogo na wakati katika sekta ya Viwanda yanayoratibiwa na Shirika la kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) Kanda ya Kusini kufanyika mkoani Ruvuma mwaka…

Continue Reading....

Madaktari: Tiba ya Babu imeleta maafa

Posted on: August 26, 2011August 26, 2011 - Rungwe Jr.
Madaktari: Tiba ya Babu imeleta maafa

  Chama cha Madaktari nchini (MAT) kimesema tiba inayotolewa na Mchungaji Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambilikile Mwasapila, kwa njia ya…

Continue Reading....

Timu ya Soka ya ‘Bongo Starz’ yaendelea na mazoezi! Pt 2

Posted on: August 21, 2011August 21, 2011 - Rungwe Jr.
Timu ya Soka ya ‘Bongo Starz’ yaendelea na mazoezi! Pt 2

Na Mwandishi Wetu, Los Angeles TIMU ya Watanzania waishio Kusini mwa California jana Jumamosi walikutana kwa mara nyingine tena, kwa ajili ya mazoezi kabla ya…

Continue Reading....

Balaaaaaaaaa!!!

Posted on: August 21, 2011August 21, 2011 - Rungwe Jr.
Balaaaaaaaaa!!!

 

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari