Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 36

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Picha Za Mchuano wa Kandanda Siku ya Uhuru wa Uganda 2011

Posted on: October 28, 2011October 28, 2011 - Rungwe Jr.
Picha Za Mchuano wa Kandanda Siku ya Uhuru wa Uganda 2011

Timu ya Bongo Starz ilijumuika na timu za Uganda, Kenya, na Elitrea kwenye mashindano ya kusheherekea siku ya uhuru wa Uganda (Octoba 9, 2011) ndani ya…

Continue Reading....

Mnyika kuwasilisha muswada wa kudhibiti bei ya bidhaa muhimu

Posted on: October 25, 2011October 25, 2011 - Rungwe Jr.
Mnyika kuwasilisha muswada wa kudhibiti bei ya bidhaa muhimu

Na Mwandishi Wetu MBUNGE wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika (Chadema), amesema kuwa atapeleka muswada binafsi wa Sheria ya Udhibiti wa Bei ya bidhaa nchini…

Continue Reading....

Maalim Seif: Watendaji Zanzibar chanzo cha uchafuzi wa mazingira

Posted on: October 25, 2011 - Rungwe Jr.
Maalim Seif: Watendaji Zanzibar chanzo cha uchafuzi wa mazingira

Na Mwinyi Sadallah Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema tabia ya watendaji kufungia sheria na kanuni za uhifadhi wa mazingira…

Continue Reading....

Tanzania yapaa kwa rushwa Afrika Mashariki!

Posted on: October 21, 2011October 21, 2011 - Rungwe Jr.
Tanzania yapaa kwa rushwa Afrika Mashariki!

Tanzania imezidi kufanya vibaya katika mizania ya rushwa katika nchi tano za ukanda wa Afrika Mashariki, baada ya kupanda kutoka nafasi ya nne iliyokuwa ikiishikilia…

Continue Reading....

Viongozi Chadema waachiwa huru

Posted on: October 21, 2011 - Rungwe Jr.
Viongozi Chadema waachiwa huru

Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliokamatwa juzi kwa madai ya kuvunja amri ya polisi ya kutofanya mkutano wa hadhara, wameachiwa huru. Viongozi…

Continue Reading....

Mama Salma: Majungu na fitna sumu ya maendeleo

Posted on: October 21, 2011 - Rungwe Jr.
Mama Salma: Majungu na fitna sumu ya maendeleo

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, amewaonya wananchi kuepuka majungu, fitna na migongano kwani ni sumu ambayo kamwe haiwezi kuleta maendeleo. Mama Salma aliyasema hayo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari