Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 33

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Kafulila apewa siku 14 za kukata rufaa

Posted on: December 19, 2011 - Rungwe Jr.
Kafulila apewa siku 14 za kukata rufaa

Licha ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya NCCR-Mageuzi kumvua uanachama Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila, na wenzake watatu, chama hicho kimewapa siku 14 za…

Continue Reading....

Harakati za MUVI!

Posted on: December 8, 2011December 8, 2011 - Rungwe Jr.
Harakati za MUVI!

Ule  Mradi wa Muunganisho Ujasiriamali Vijijini (MUVI) unaendelea na shughuli zake (Picha zote na Dunstan Mhilu)

Continue Reading....

Polisi wawili watiwa mbaroni kwa kumpa kichapo Diwani

Posted on: December 6, 2011 - Rungwe Jr.
Polisi wawili watiwa mbaroni kwa kumpa kichapo Diwani

Askari Polisi wawili wa kituo cha Mgeta wilayani Mvomero mkoani Morogoro, wametiwa mbaroni kwa tuhuma za kumpiga Diwani wa Kata ya Kiteo, Exavery Msambara, kwa…

Continue Reading....

Maambukizi ya VVU Jiji la Tanga yanatisha

Posted on: December 6, 2011December 6, 2011 - Rungwe Jr.
Maambukizi ya VVU Jiji la Tanga yanatisha

Kiwango cha maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) katika Halmashauri ya Jiji la Tanga kimeongezeka kwa asilimia 8.7 zaidi ya kile cha kitaifa cha asilimia…

Continue Reading....

Wasichana waongoza masomo ya Sayansi ARU

Posted on: December 4, 2011December 4, 2011 - Rungwe Jr.
Wasichana waongoza masomo ya Sayansi ARU

 Wanafunzi wasichana, wameongoza katika orodha ya wanafunzi bora 95 wa fani tofauti za utaalamu wa matumizi ya ardhi wa Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), jijini…

Continue Reading....

Wabunge CCM `Ndiyo`, Upinzani wasema `Hapana`

Posted on: December 4, 2011 - Rungwe Jr.
Wabunge CCM `Ndiyo`, Upinzani wasema `Hapana`

Baada ya Serikali kuongeza posho kwa wabunge, baadhi yao wametofautiana juu ya uamuzi huo huku wengine wakitaka Serikali iongeze posho kwa kada zote. Hivi karibuni,…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari