Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 32

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Ziara ya Kafulila Kigoma yaitesa NCCR-Mageuzi

Posted on: January 6, 2012January 6, 2012 - Rungwe Jr.
Ziara ya Kafulila Kigoma yaitesa NCCR-Mageuzi

Joto la kisiasa katika Jimbo la Kigoma Kusini, linazidi kupanda, baada ya baadhi ya viongozi wa Chama cha NCCR-Mageuzi kutoka makao makuu kuingia jimboni humo…

Continue Reading....

Hamad Rashid mwisho

Posted on: January 6, 2012 - Rungwe Jr.
Hamad Rashid mwisho

Baraza Kuu cha Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF) limewafukuza rasmi viongozi wanne wa chama hicho, akiwemo muasisi wake na Mbunge wa Jimbo la Wawi,…

Continue Reading....

Hamad: Njama za Maalim Seif hizi

Posted on: December 28, 2011 - Rungwe Jr.
Hamad: Njama za Maalim Seif hizi

  Msuguano kati ya Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed na Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, umefichua siri nzito,…

Continue Reading....

Kafulila bado ni mbunge

Posted on: December 24, 2011 - Rungwe Jr.
Kafulila bado ni mbunge

  Hatima ya ubunge wa David Kafulila aliyetangazwa kuvuliwa uanachama wa NCCR-Mageuzi na Halmashauri Kuu (NEC) ya chama hicho, hadi sasa bado kitendawili. Hali hiyo…

Continue Reading....

Kafulila, wenzake hawajapewa barua kuvuliwa uanachama NCCR

Posted on: December 22, 2011December 22, 2011 - Rungwe Jr.
Kafulila, wenzake hawajapewa barua kuvuliwa uanachama NCCR

UONGOZI wa NCCR-Mageuzi umeshikwa ghafla na kigugumizi baada ya hadi sasa kushindwa kumpa barua Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila, na wenzake watatu, kuthibitisha uamuzi…

Continue Reading....

Lema, Zitto, Mnyika, Mdee hawakamatiki

Posted on: December 19, 2011 - Rungwe Jr.
Lema, Zitto, Mnyika, Mdee hawakamatiki

  Wabunge vijana kupitia Chama Cha Demokrasia Maendeleo (Chadema), wameibuka washindi wa tuzo ya wabunge bora vijana kwa mwaka 2011. Tuzo hiyo inayojulikana kama “Mjengwablog…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari