Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 30

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Madaktari wachunguza mwili wa Kanumba

Posted on: April 10, 2012April 10, 2012 - Rungwe Jr.
Madaktari wachunguza mwili wa Kanumba

Jopo la madaktari jana lilianza kuuchunguza mwili wa aliyekuwa mcheza filamu maarufu nchini, Steven Kanumba, kwa lengo la kubaini sababu zilizosababisha kifo chake kilichotokea Jumamosi…

Continue Reading....

Chadema wadai CCM imeanza rafu Arumeru

Posted on: March 9, 2012 - Rungwe Jr.
Chadema wadai CCM imeanza rafu Arumeru

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kuwa kinaandika barua ya malalamiko kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Arumeru Mashariki, Trasias Kagenzi, dhidi ya Meneja…

Continue Reading....

Kesi ya Hamad Rashid dhidi ya CUF yapaishwa

Posted on: March 9, 2012 - Rungwe Jr.
Kesi ya Hamad Rashid dhidi ya CUF yapaishwa

Muda wa kumalizika kwa kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama iliyofunguliwa na Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed, na wenzake 10 dhidi ya Chama Cha Wananchi…

Continue Reading....

Kifungo dereva ajali ya Chacha Wangwe batili

Posted on: March 8, 2012 - Rungwe Jr.
Kifungo dereva ajali ya Chacha Wangwe batili

Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dodoma wa kumhukumu kifungo cha miaka mitatu jela, dereva Deus Mallya aliyekuwa anamwendesha aliyekuwa Mbunge wa Tarime…

Continue Reading....

JK: polisi acheni kuua raia

Posted on: March 8, 2012 - Rungwe Jr.
JK: polisi acheni kuua raia

Amiri Jeshi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete, amelitaka Jeshi la Polisi kukomesha vitendo vya mauaji, unyanyasaji dhidi ya raia na ukiukaji maadili miongoni mwa askari kwani…

Continue Reading....

Madiwani: Serikali itueleze Mwakyembe anaumwa nini

Posted on: March 2, 2012March 2, 2012 - Rungwe Jr.
Madiwani: Serikali itueleze Mwakyembe anaumwa nini

Baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela pamoja na wazee maarufu wa mji Kyela mkoani Mbeya, wamekutana kujadili suala la ugonjwa unaomsumbua Mbunge…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari