Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 28

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Zitto azilipua bungeni Tanesco, ATCL

Posted on: April 19, 2012 - Rungwe Jr.
Zitto azilipua bungeni Tanesco, ATCL

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), imependekeza kwa serikali iwakamate na kuwafikisha mahakamani maofisa wa serikali walioingia mkataba wa ukodishaji wa…

Continue Reading....

Mbunge anusurika ajalini

Posted on: April 19, 2012 - Rungwe Jr.
Mbunge anusurika ajalini

Mbunge wa Temeke (CCM), Abbas Mtevu, na watu wawili akiwemo dereva wake wamenusurika kifo baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka katika kijiji cha Tabu Hotel…

Continue Reading....

Hatma ubunge Lissu Aprili 27

Posted on: April 19, 2012 - Rungwe Jr.
Hatma ubunge Lissu Aprili 27

Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma itatoa hukumu ya kesi ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), Aprili 27, mwaka huu 2012 baada ya kukamilika…

Continue Reading....

Utamu, uchungu wa kimombo ubunge A. Mashariki

Posted on: April 19, 2012 - Rungwe Jr.
Utamu, uchungu wa kimombo ubunge A. Mashariki

Lugha ya Kiingereza ambayo ni rasmi kwa shughuli za Bunge la Afrika Mashariki jana ilikuwa kikwazo kwa baadhi ya wagombea waliokuwa wanaomba nafasi za kuiwakilisha…

Continue Reading....

Utajiri wa Steven Kanumba watajwa

Posted on: April 19, 2012 - Rungwe Jr.
Utajiri wa Steven Kanumba watajwa

Kamati Kuu ya Mazishi ya aliyekuwa msanii mashuhuri wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba, imedai msanii huyo amefariki dunia akiwa maskini, kinyume kabisa cha umaarufu…

Continue Reading....

Wabunge: Vigogo dawa za kulevya wakamatwe

Posted on: April 18, 2012April 18, 2012 - Rungwe Jr.
Wabunge: Vigogo dawa za kulevya wakamatwe

Wabunge jana walicharuka bungeni wakitaka vigogo wa dawa za kulevya wakamatwe na kufikishwa mahakamani kwani tatizo la dawa za kulevya limezidi kuwa kubwa sanjari na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari