Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 26

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Pinda atoboa siri kutoswa mawaziri

Posted on: May 13, 2012 - Rungwe Jr.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ameeleza sababu zilizomfanya Rais Jakaya Kikwete, kulivunja Baraza la Mawaziri na kulisuka upya kuwa kunalenga kuleta utamaduni mpya wa matumizi ya…

Continue Reading....

Wataka mawaziri wafilisiwe

Posted on: May 12, 2012 - Rungwe Jr.
Wataka mawaziri wafilisiwe

Sasa kampeni inapigwa ili mali za mawaziri waliofutwa kazi zifilisiwa kama watakutwa na hatia mahakamani. Huo ni wito wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha…

Continue Reading....

Kafulila: Nikishindwa kesi nitahamia chama kingine

Posted on: May 12, 2012 - Rungwe Jr.
Kafulila: Nikishindwa kesi nitahamia chama kingine

Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR Mageuzi), David Kafulila, amesema yuko tayari kukihama chama chake na kujiunga na chama kingine ikiwa atashindwa kesi ya kupinga kuvuliwa…

Continue Reading....

Kulisuka upya Baraza la Mawaziri suluhisho la muda

Posted on: May 2, 2012May 2, 2012 - Rungwe Jr.
Kulisuka upya Baraza la Mawaziri suluhisho la muda

Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi imemwelekeza Rais Jakaya Kikwete “kusuka upya” Baraza la Mawaziri, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa juzi. Hayo hayakuwa matazamio ya…

Continue Reading....

JK apongeza wabunge kuwasulubu mawaziri

Posted on: May 2, 2012 - Rungwe Jr.
JK apongeza wabunge kuwasulubu mawaziri

Rais Jakaya Kikwete amesema hakusikitishwa wala kufedheheshwa na mjadala wa wabunge wakati wa Mkutano wa Saba wa Bunge uliotoa mapendekezo kwa mawaziri ambao wizara zao…

Continue Reading....

Ofisi ya DCI yakumbatia jalada watuhumiwa suala la Mwakyembe

Posted on: April 29, 2012 - Rungwe Jr.
Ofisi ya DCI yakumbatia jalada watuhumiwa suala la Mwakyembe

Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Kamishina Robert Manumba, imekumbatia jalada la watuhumiwa waliodai kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk Harrison…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari