Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 25

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Hukumu dhidi ya Maranda yawekwa ‘kiporo’

Posted on: May 17, 2012May 17, 2012 - Rungwe Jr.
Hukumu dhidi ya Maranda yawekwa ‘kiporo’

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeshindwa kusoma hukumu dhidi ya kada wa CCM, Rajabu Maranda na binamu yake Farijala Hussein, kutokana…

Continue Reading....

Mambo ya Jeshi la Marekani hayo!

Posted on: May 16, 2012 - Rungwe Jr.
Mambo ya Jeshi la Marekani hayo!

Continue Reading....

Mwakyembe awaka

Posted on: May 16, 2012 - Rungwe Jr.
Mwakyembe awaka

Siku chache baada ya kuanza kutumikia wadhifa wa Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amesema kuwa chanzo kikuu cha matatizo ya Shirika la Reli la…

Continue Reading....

Matumizi ya Dola sasa marufuku

Posted on: May 15, 2012 - Rungwe Jr.
Matumizi ya Dola sasa marufuku

Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa, amesema serikali itaanza kutekeleza mkakati wa kulinda thamani ya Shilingi ya Tanzania ambayo imekuwa ikiporomoka thamani yake. Dk. Mgimwa…

Continue Reading....

Mbunge wa Chadema azushiwa zengwe

Posted on: May 15, 2012 - Rungwe Jr.
Mbunge wa Chadema azushiwa zengwe

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekanusha taarifa zilizozaa kwenye mitandao kuwa Mbunge wa Viti maalumu kupitia chama hicho, Leticia Nyerere, amekamatwa na uhamiaji kwa…

Continue Reading....

Wengi zaidi wajitoa CCM, wakimbilia Chadema

Posted on: May 15, 2012 - Rungwe Jr.
Wengi zaidi wajitoa CCM, wakimbilia Chadema

Jinamizi la wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kukihama chama hicho limezidi kukiandama ambapo safari hii Kamanada wa vijana Kata ya Ilala jijini Dar es…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari