Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 24

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Tunalaani mauaji ya wazee kwa imani za kishirikina

Posted on: May 24, 2012 - Rungwe Jr.
Tunalaani mauaji ya wazee kwa imani za kishirikina

Tangu jana tumekuwa tunaadika habari maalum kuhusu mauaji ya vikongwe mkoani Geita. Habari hiyo imejikita katika tukio la hivi karibuni kabisa la Mei 10, mwaka…

Continue Reading....

Waziri Wasira azomewa

Posted on: May 23, 2012 - Rungwe Jr.
Waziri Wasira azomewa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira, amejikuta katika wakati mgumu kwa kuzomewa na kuulizwa maswali magumu na wananchi wa jimbo…

Continue Reading....

Binti asimulia mamaye alivyouawa kinyama

Posted on: May 23, 2012 - Rungwe Jr.
Binti asimulia mamaye alivyouawa kinyama

Ni ukatili usioelezeka, ni kukosa hata chembe ya ubinadamu, hii ni simulizi ya kutisha ya binti aliyeshuhudia mama yake akicharangwa mapanga kutokana na imani za…

Continue Reading....

Mbunge “Profesa Maji Marefu” alazwa India

Posted on: May 23, 2012 - Rungwe Jr.
Mbunge “Profesa Maji Marefu” alazwa India

Mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), Stephen Ngonyani, maarufu kama ‘Profesa Majimarefu’, amelazwa hospitalini nchini India baada ya afya yake kubadilika. Habari kutoka Ofisi Ndogo za…

Continue Reading....

CCM wameteka Mchakato wa Katiba-Chadema

Posted on: May 19, 2012 - Rungwe Jr.
CCM wameteka Mchakato wa Katiba-Chadema

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeijia juu Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC) kwa kitendo cha kuteka mchakato wa katiba mpya kabla ya…

Continue Reading....

CCM champuuza Mbunge Shibuda

Posted on: May 19, 2012 - Rungwe Jr.
CCM champuuza Mbunge Shibuda

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempuuza Mbunge wa Maswa Magharibi (Chadema), John Shibuda, kufuatia kauli yake ya kudai kuwa atagombea urais kupitia Chadema katika uchaguzi mkuu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari