Tangu jana tumekuwa tunaadika habari maalum kuhusu mauaji ya vikongwe mkoani Geita. Habari hiyo imejikita katika tukio la hivi karibuni kabisa la Mei 10, mwaka…
Continue Reading....Author: Rungwe Jr.
Waziri Wasira azomewa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira, amejikuta katika wakati mgumu kwa kuzomewa na kuulizwa maswali magumu na wananchi wa jimbo…
Continue Reading....Binti asimulia mamaye alivyouawa kinyama
Ni ukatili usioelezeka, ni kukosa hata chembe ya ubinadamu, hii ni simulizi ya kutisha ya binti aliyeshuhudia mama yake akicharangwa mapanga kutokana na imani za…
Continue Reading....Mbunge “Profesa Maji Marefu” alazwa India
Mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), Stephen Ngonyani, maarufu kama ‘Profesa Majimarefu’, amelazwa hospitalini nchini India baada ya afya yake kubadilika. Habari kutoka Ofisi Ndogo za…
Continue Reading....CCM wameteka Mchakato wa Katiba-Chadema
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeijia juu Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC) kwa kitendo cha kuteka mchakato wa katiba mpya kabla ya…
Continue Reading....CCM champuuza Mbunge Shibuda
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempuuza Mbunge wa Maswa Magharibi (Chadema), John Shibuda, kufuatia kauli yake ya kudai kuwa atagombea urais kupitia Chadema katika uchaguzi mkuu…
Continue Reading....