Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 23

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Mahakama ya Kadhi sasa kuanzishwa wakati wowote asema Pinda

Posted on: June 30, 2012June 30, 2012 - Rungwe Jr.
Mahakama ya Kadhi sasa kuanzishwa wakati wowote asema Pinda

Serikali imesema uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi itakayoshughulikia migogoro na masuala mbalimbali ya usatawi wa Waislamu nchini umefikia katika hatua nzuri. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda,…

Continue Reading....

Dk.Ulimboka hali mbaya

Posted on: June 30, 2012 - Rungwe Jr.
Dk.Ulimboka hali mbaya

Hali ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk. Steven Ulimboka ni mbaya na sasa madaktari wanatafuta Dola za Marekani 40,000 (Sh. milioni 63.07) ili…

Continue Reading....

Ni nani huyu?

Posted on: June 26, 2012June 26, 2012 - Rungwe Jr.
Ni nani huyu?

Continue Reading....

Kumbukumbu za kijeshi kutoka Kagera!

Posted on: June 23, 2012 - Rungwe Jr.
Kumbukumbu za kijeshi kutoka Kagera!

(Picha zote na Mpiga Picha Wetu, Kagera)

Continue Reading....

Hukumu ya Mnyika leo

Posted on: May 24, 2012 - Rungwe Jr.
Hukumu ya Mnyika leo

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inatarajia kutoa hukumu ya kesi ya kupinga ushindi wa Mbunge wa Jimbo la Ubungo (Chadema), John Mnyika,…

Continue Reading....

Sekta binafsi, Marekani kuendeleza kilimo

Posted on: May 24, 2012May 24, 2012 - Rungwe Jr.
Sekta binafsi, Marekani kuendeleza kilimo

Sekta binafsi nchini kwa kushirikiana na watu wa Marekani kupitia Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Marekani (USAID) wamekubalina kuendeleza ukuaji wa kilimo nchini kwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari