Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Rungwe Jr.
  • Page 20

Author: Rungwe Jr.

Hashim Rungwe Jr., ni Muhitimu wa Sayansi ya Siasa(Political Science) kutoka Chuo cha Santa Barbara, jijini California. Amekuwa miongoni mwa waasisi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Kitanzania jijini St. Petersburg, nchini Urusi, na kuongoza Jumuiya hiyo kama Katibu Mkuu na baadae Makamu Mwenyekiti (2002 - 2005). Amekuwa msaidizi wa masuala ya kiufundi katika kampeni ya Mh. Josh Lynn katika uchaguzi wa mwanasheria mkuu wa kitongoji cha Santa Barbara mwaka 2009. kwa sasa ni muasisi mshiriki, na Mhariri Mkuu Kiongozi wa dev.kisakuzi.com, USA. Unaweza kumuandikia kupitia rungwe@dev.kisakuzi.com

Odinga apinga rasmi ushindi wa Kenyatta

Posted on: March 17, 2013 - Rungwe Jr.
Odinga apinga rasmi ushindi wa Kenyatta

Mshindi wa kiti cha uraisi katika uchauguzi mkuu wa Kenya kupitia muungano wa Jubilee, Uhuru Kenyatta amepingwa rasmi jana mbele ya Mahakama ya Juu ya…

Continue Reading....

Maalum kwa kina Dada: Sheria 10 za Kumridhisha mwanaume wako kimapenzi!

Posted on: March 16, 2013September 20, 2013 - Rungwe Jr.
Maalum kwa kina Dada: Sheria 10 za Kumridhisha mwanaume wako kimapenzi!

Mtaalam wa mapenzi, Bi. Layla Quinn, anasema wamaume ni viumbe rahisi sana kuridhishwa tunapokuja katika suala la unyumba. Mwanzoni, kitu kinachomhamasisha mwanaume kujamiiana ni muonekano…

Continue Reading....

Rais Hugo Chavez Aaga Dunia!

Posted on: March 5, 2013March 7, 2013 - Rungwe Jr.

Habari zilizotufikia mitamboni muda si mrefu, ni kwamba yule Rais machachari wa Venezuela kule America ya kusini amefariki dunia kutokana na ugonjwa wa saratani. Rais…

Continue Reading....

Taarifa ya Msiba San Diego, California

Posted on: March 1, 2013 - Rungwe Jr.
Taarifa ya Msiba San Diego, California

Ndugu Wanajumuia, Nina masikitiko makubwa kuwajulisha kwamba kaka mpendwa Mabula Aloys Nyamenda amefariki dunia February 22, 2013 hapo San Diego, California. Marehemu allikua akisumbuliwa na…

Continue Reading....

Rais Jakaya Mrisho Kikwete aomboleza kifo cha Askofu Laizer

Posted on: February 7, 2013February 7, 2013 - Rungwe Jr.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete aomboleza kifo cha Askofu Laizer

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete usiku wa leo, Alhamisi, Februari 7, 2013, ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa…

Continue Reading....

25th International Africa Festival

Posted on: February 1, 2013February 1, 2013 - Rungwe Jr.
25th International Africa Festival

Lile tamasha kubwa la tamaduni za kiafrika litafanyika tena jijini Wurzburg, nchini Ujerumani kuanzia May 30 – June 2, 2013. Haya ndugu zangu, mnaotaka kuudhuria…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari