Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 831

Author: jomushi

Al Shabaab Washambulia Kenya, Wauwa Raia 48 Lamu

Posted on: June 16, 2014 - jomushi
Post Tags: Al Shabaab Washambulia Kenya, featured
Al Shabaab Washambulia Kenya, Wauwa Raia 48 Lamu

WATU wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Kiislamu wameshambulia kituo cha polisi, hoteli na vijiji mjini Mpeketoni, pwani ya nchini ya Kenya. Makabiliano makali yameripotiwa kutokea sehemu…

Continue Reading....

ARVs Zapungua Nchini Watumiaji Matatani…!

Posted on: June 16, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Uhaba wa ARV's Tanzania
ARVs Zapungua Nchini Watumiaji Matatani…!

MAISHA ya baadhi ya watu wanaotumia dawa za kufubaza makali ya ugonjwa wa Ukimwi (ARVs), yapo hatarini, baada ya kupungua kwa dawa hizo nchini na…

Continue Reading....

Bomu Laua Mmoja na Kujeruhi 7 Zanzibar

Posted on: June 16, 2014 - jomushi
Post Tags: Bomu Laua na Kujeruhi Zanzibar, featured
Bomu Laua Mmoja na Kujeruhi 7 Zanzibar

MTU mmoja amefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa baada ya kurushiwa bomu na watu wasiojulikana katika eneo la Darajani, muda mfupi baada ya kuhudhuria mawaidha…

Continue Reading....

Hafla ya Uzinduzi wa Tamasha la 17 la ZIFF Zanzibar

Posted on: June 16, 2014June 16, 2014 - jomushi
Post Tags: Uzinduzi wa Tamasha la 17 la ZIFF
Hafla ya Uzinduzi wa Tamasha la 17 la ZIFF Zanzibar

Makamu wa Rais wa Pili wa Zanzibar, Balozi Sefu Ali Iddi akisalimiana na baadhi ya wageni alipowasili kwenye ufunguzi wa Tamasha la 17 la ZIFF…

Continue Reading....

Ali Vuai Afunguwa Semina ya Viongozi wa CCM Wilaya ya Ludewa

Posted on: June 16, 2014 - jomushi
Ali Vuai Afunguwa Semina ya Viongozi wa CCM Wilaya ya Ludewa

Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndugu Vuai Ali Vuai akifungua semina ya wenyeviti, Makatibu na Makatibu Wenezi wa CCM wilaya ya Ludewa . Mwenyekiti wa…

Continue Reading....

Rais Kikwete Atuma Salamu za Rambirambi kwa SMZ

Posted on: June 15, 2014 - jomushi
Post Tags: Salam za Rambirambi
Rais Kikwete Atuma Salamu za Rambirambi kwa  SMZ

Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za pole Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein kufuatia kuuawa kwa mtu mmoja na wengine…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari