Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 817

Author: jomushi

Al Shabaab Yamuua Mbunge na Mlinzi Wake Somalia

Posted on: July 3, 2014 - jomushi
Al Shabaab Yamuua Mbunge na Mlinzi Wake Somalia

WANAMGAMBO wa Al Shabaab wamedai kuwa wamemuua kwa kumfyatulia risasi mbunge maarufu mjini Mogadishu. Taarifa zinasema, Ahmed Mohamud Hayd (Mb) aliuawa baada ya kutoka hotelini…

Continue Reading....

Madhari ya Mji wa Newala Leo, Mkoani Mtwara…!

Posted on: July 3, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Madhari ya Mji wa Newala
Madhari ya Mji wa Newala Leo, Mkoani Mtwara…!

Continue Reading....

Serikali Yatangaza Ajira 1,324 Nafasi Mbalimbali

Posted on: July 3, 2014July 3, 2014 - jomushi
Post Tags: featured
Serikali Yatangaza Ajira 1,324 Nafasi Mbalimbali

SERIKALI YATANGAZA NAFASI ZA KAZI 1,324 Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawatangazia Watanzania  wenye sifa na uwezo kujaza jumla ya nafasi wazi za…

Continue Reading....

MeTL Group na Umoja wa Mataifa Katika Maonesho ya Biashara, Sabasaba…!

Posted on: July 3, 2014 - jomushi
MeTL Group na Umoja wa Mataifa Katika Maonesho ya Biashara, Sabasaba…!

  Afisa Habari wa Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama (wa tatu kushoto) akizungumza na mzazi aliyeambatana na watoto wake kwenye banda…

Continue Reading....

Red Bull Kucheza Mpira Mitaani na Mfaransa Sean Garnier

Posted on: July 3, 2014 - jomushi
Post Tags: Red Bull
Red Bull Kucheza Mpira Mitaani na Mfaransa Sean Garnier

 Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa SeanGarnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya kutambulishwa. Pembeni…

Continue Reading....

Balozi wa Libya Ajiua kwa Risasi Ofisini…!

Posted on: July 3, 2014 - jomushi
Post Tags: Balozi wa Libya Ajiua kwa Risasi, featured
Balozi wa Libya Ajiua kwa Risasi Ofisini…!

BALOZI wa Libya nchini Tanzania, Ismail Nwairat, amejiua kwa risasi jana ofisini kwake, katika tukio la kwanza la aina yake nchini kwa kigogo wa ubalozi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari