Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 798

Author: jomushi

Waliouwa kwa Deni la Shs 9600 Wanyongwa Rombo

Posted on: July 20, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Waliouwa kwa Deni la Shs 9600 Wanyongwa
Waliouwa kwa Deni la Shs 9600 Wanyongwa Rombo

WATU watatu wakazi wa Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wamehukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mauaji. Hukumu hiyo…

Continue Reading....

Balozi wa Palestina Awaomba Wanahabari Tanzania Kupaza Sauti

Posted on: July 20, 2014July 20, 2014 - jomushi
Post Tags: Balozi wa Palestina Awaomba Wanahabari Tanzania, featured
Balozi wa Palestina Awaomba Wanahabari Tanzania Kupaza Sauti

BALOZI wa Palestina nchini Tanzania, Nasri Abu Jaish amevitaka vyombo vya habari nchini Tanzania kusaidia kupaza sauti dhidi ya vitendo vya uonevu na mauaji yanayofanywa…

Continue Reading....

Matukio ya Mkutano African Leadership Academy Dar es Salaam

Posted on: July 19, 2014July 19, 2014 - jomushi
Post Tags: African Leadership Academy Dar es Salaam, featured
Matukio ya Mkutano African Leadership Academy Dar es Salaam

Continue Reading....

Mtandao wa Wanawake na Katiba Wazungumzia Mchakato wa Katiba

Posted on: July 19, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Mtandao wa Wanawake na Katiba
Mtandao wa Wanawake na Katiba Wazungumzia Mchakato wa Katiba

MTANDAO wa Wanawake na Katiba umevitaka vyombo vya habari kuacha kuyumbushwa na upepo wa kisiasa katika suala zima la kupigania mambo ya msingi kwa jamii…

Continue Reading....

Upanuzi wa Barabara Dar

Posted on: July 19, 2014 - jomushi
Upanuzi wa Barabara Dar

Fundi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco),ambaye jina lake alikufahamika mara moja alikutwa akiamisha nyaya za umeme kwa ajili ya maandalizi ya upanuzi wa barabara…

Continue Reading....

Jhikoman Atingisha International African Festival Ujerumani

Posted on: July 19, 2014 - jomushi
Jhikoman  Atingisha International African Festival Ujerumani

Tubingen,Ujerumani, Mwanamuziki maarufu wa reggae barani Afrika Jhiko Manyika aka Jhikoma kutoka Bagamoyo,Tanzania,alifanikiwa kuwadatisha akili washabiki wa muziki nchini ujerumani siku ya alhamisi 17 julai…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari