Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 783

Author: jomushi

Kocha Taifa Stars Ataja Sababu za Kufungwa

Posted on: August 4, 2014 - jomushi
Post Tags: Kocha Taifa Stars Ataja Sababu za Kufungwa
Kocha Taifa Stars Ataja Sababu za Kufungwa

KOCHA wa Taifa Stars, Mart Nooij amesema moja ya sababu za kikosi chake kupoteza mechi dhidi ya Msumbiji (Mambas) ni wachezaji wake kucheza kwa wasiwasi…

Continue Reading....

MeTL Kupanua Soko Lake la Mafuta Afrika Mashariki na Kusini

Posted on: August 4, 2014 - jomushi
Post Tags: MeTL Kupanua Soko Lake
MeTL Kupanua Soko Lake la Mafuta Afrika Mashariki na Kusini

  Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Bi. Mizinga Melu akizungumza kwenye hafla ya utiliaji saini wa mkopo wa bilioni 100 za kitanzania baina ya benki yake…

Continue Reading....

SIKIKA Yakanusha Tuhuma za Madiwani Dodoma

Posted on: August 4, 2014 - jomushi
Post Tags: SIKIKA Yakanusha Tuhuma
SIKIKA Yakanusha Tuhuma za Madiwani Dodoma

Mwenyekiti wa Bodi Sikika, Bi. Pili Mtambalike akisoma tamko la Shirika lisilo la Kiserikali la Sikika mbele ya waandishi wa Habari leo Agosti 3, 2014…

Continue Reading....

Wanachama wa Ukonga Shule ya Msingi Wakutana…!

Posted on: August 4, 2014 - jomushi
Post Tags: Ukonga Shule ya Msingi
Wanachama wa Ukonga Shule ya Msingi Wakutana…!

Baadhi ya wanachama waliokuwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Ukonga  wakipiga picha ya pamoja walipokutana  kwa mara ya kwanza kwenye Kiota cha Jungle njiapanda ya…

Continue Reading....

Rais Kikwete Ataja Sifa Pekee ya Uwekezaji Tanzania

Posted on: August 4, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Rais Kikwete Ataja Sifa Pekee ya Uwekezaji
Rais Kikwete Ataja Sifa Pekee ya Uwekezaji Tanzania

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameyataka makampuni na wafanyabiashara wa Marekani kuongeza uwekezaji wao katika Tanzania, akisema kuwa Tanzania inao uwezo…

Continue Reading....

Mama Salma Awataka Wanawake Waishio Ughaibuni Kupendana

Posted on: August 4, 2014 - jomushi
Mama Salma Awataka Wanawake Waishio Ughaibuni Kupendana

    Wanawake wa kitanzania waishio Ughaibuni wamewatakiwa kuondoa tofauti zao za mitizamo, maoni, dini na makabila bali wapendane, kuaminiana na kushirikiana ili kwa pamoja…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari