Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 762

Author: jomushi

Wengi Wajitokeza Zoezi la Usajili na Utambuzi Mtwara

Posted on: August 21, 2014 - jomushi
Post Tags: Zoezi la Usajili na Utambuzi Mtwara
Wengi Wajitokeza Zoezi la Usajili na Utambuzi Mtwara

Habari/Picha na Rose Mdami wa NIDA ZOEZI la Usajili Vitambulisho vya Taifa limeendelea mkoani Mtwara, ambapo wananchi wamejitokeza kwa wingi kujisajili, kama wakazi hawa wa…

Continue Reading....

JK Atuma Rambirambi Vifo vya Watu 19 Mkoani Tabora

Posted on: August 21, 2014 - jomushi
Post Tags: JK Atuma Rambirambi Vifo vya Watu 19
JK Atuma Rambirambi Vifo vya Watu 19 Mkoani Tabora

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatma Mwasa kufuatia ajali ya…

Continue Reading....

Tanzania Mwenyeji Mashindano ya Shule za Sekondari Afrika Mashariki

Posted on: August 21, 2014 - jomushi
Tanzania Mwenyeji Mashindano ya Shule za Sekondari Afrika Mashariki

TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MASHINDANO YA SHIRIKISHO LA MICHEZO YA SHULE ZA SEKONDARI AFRIKA MASHARIKI Tanzania imepewa heshima ya kuwa Mwenyeji wa mashindano ya Michezo…

Continue Reading....

Mamlaka ya Elimu Tanzania Kukabidhi Madawati 2000

Posted on: August 21, 2014 - jomushi
Post Tags: Mamlaka ya Elimu Tanzania
Mamlaka ya Elimu Tanzania Kukabidhi Madawati 2000

Frank Mvungi – Maelezo MAMLAKA ya Elimu Tanzania inatarajia kukabidhi madawati 2,000 kwa shule za Msingi 10 zilizopo jijini Dar es Salaam ikiwa ni hatua…

Continue Reading....

Rais Kikwete Aandika Historia: Aanzisha Ujenzi Daraja la Kilombero

Posted on: August 21, 2014 - jomushi
Post Tags: Ujenzi Daraja la Kilombero
Rais Kikwete Aandika Historia: Aanzisha Ujenzi Daraja la Kilombero

HISTORIA imeandikwa, Agosti 20, 2014 katika Mkoa wa Morogoro na katika Tanzania. Kwa mara ya kwanza tokea enzi na enzi, magari yameweza kuvuka Mto wa…

Continue Reading....

Ruvuma Yazinduwa Kampeni ya Bwela Kuni na Wimbo Maalum

Posted on: August 21, 2014August 21, 2014 - jomushi
Post Tags: Kampeni ya Bwela Kuni
Ruvuma Yazinduwa Kampeni ya Bwela Kuni na Wimbo Maalum

BAADHI ya Vijana kutokea Mkoa wa Ruvuma wakishirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wameandaa kampeni maalum ya kunadi fursa anuai zilizopo katika mkoa huo kupitia…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari