RAIS wa Marekani, Barrack Obama ametangaza mpango wake wa kuwatuma wanajeshi 3,000 Afrika Magharibi kama njia mojawap ya kusaidia katika mapambano dhidi ya ugonjwa hatari…
Continue Reading....Author: jomushi
Kongamano la Nyuki Barani Afrika Kufanyika Tanzania
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO TANZANIA inatarajia kuwa mwenyeji wa Kongamano la Watafiti na Wanasayansi wa Sekta ya Ufugaji Nyuki Barani Afrika linalotarajiwa kufanyika Jijini Arusha…
Continue Reading....Baraza la Mawaziri EAC Kuidhinisha Hati Mpya za Kusafiri
Frank Mvungi- Maelezo MKUTANO wa 29 wa Baraza la Mawaziri wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Masharikiunatarajia kupokea na kuidhinisha aina mpya ya hati…
Continue Reading....Rais Kikwete Kuhutubia Baraza Kuu la UN
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameondoka nchini usiku wa Septemba 15, 2014, kuanza ziara ya wiki mbili katika Marekani ambapo atahutubia…
Continue Reading....TBS Kuajiri Watumishi 200 Kuimarisha Utendaji
Frank Mvungi-Maelezo SHIRIKA la Viwango Nchini Tanzania (TBS) linatarajia kuajiri jumla ya watumishi 200 katika harakati za kuimarisha utendaji wa shirika hilo. Hayo yamesemwa na…
Continue Reading....Mjadala wa Kulisitisha Bunge Umefungwa – Dk. Migiro
Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma HOJA ya kusitisha Bunge Maalum la Katiba imehitimishwa rasmi Kisheria kwa Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…
Continue Reading....