Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 617

Author: jomushi

Rais Kikwete Atoboa Siri Shutuma za DRC Dhidi ya Tanzania

Posted on: January 14, 2015 - jomushi
Post Tags: DRC, Rais Kikwete, tanzania
Rais Kikwete Atoboa Siri Shutuma za DRC Dhidi ya Tanzania

TANZANIA imesema kuwa ni jambo la kusadikika na kufikirika tu kwa baadhi ya watu kudai kuwa haiko tayari kukabiliana na vikundi vya uasi na ugaidi…

Continue Reading....

Waziri Dk Kigoda Azindua Bodi Chuo cha Elimu ya Biashara, CBE

Posted on: January 14, 2015 - jomushi
Post Tags: Bodi Chuo cha Elimu ya Biashara, CBE, Dk Kigoda
Waziri Dk Kigoda Azindua Bodi Chuo cha Elimu ya Biashara, CBE

Na Aron Msigwa – MAELEZO, Dar es Salaam WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda amezindua rasmi Bodi ya Uongozi ya Chuo cha Elimu…

Continue Reading....

Ujenzi Makao Makuu Mahakama ya Afrika Kuharakishwa

Posted on: January 13, 2015 - jomushi
Post Tags: Mahakama ya Afrika, Makao Makuu
Ujenzi Makao Makuu Mahakama ya Afrika Kuharakishwa

  Na Mtua Salira, EANA – Arusha RAIS wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) Jaji Augostino Ramadhani alikutana mwishoni mwa…

Continue Reading....

Ulevi kwa Wazazi Kikwazo cha Malezi Kata ya Tembela

Posted on: January 13, 2015January 13, 2015 - jomushi
Post Tags: Malezi, Mbeya Vijijini, Ulevi wa Pombe
Ulevi kwa Wazazi Kikwazo cha Malezi Kata ya Tembela

KITENDO cha baadhi ya wazazi kuendekeza unywaji wa pombe za kienyeji katika baadhi ya vijiji vilivyopo Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini kimesababisha wazazi…

Continue Reading....

Polisi Korogwe Wakamata Milipuko na Mirungi Kwenye Basi la Abiria

Posted on: January 13, 2015 - jomushi
Post Tags: Basi la Abiria, Milipuo, Mirungi
Polisi Korogwe Wakamata Milipuko na Mirungi Kwenye Basi la Abiria

TAARIFA zilizotufikia zinabainisha kuwa Jeshi la Polisi Wilayani Korogwe, limefanikiwa kukamata shehena ya gunia 16 za dawa za kulevya aina ya mirungi pamoja na milipuko…

Continue Reading....

Papa Francis Aanza Ziara Yake Sri Lanka, Waasi FDLR…!

Posted on: January 13, 2015 - jomushi
Post Tags: Papa Francis, Sri Lanka, Waasi FDLR
Papa Francis Aanza Ziara Yake Sri Lanka, Waasi FDLR…!

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Farncis amewasili nchini Sri Lanka kwa ziara ambako anatarajiwa kusisitiza umhimu wa mazungumzo baina ya makundi mbalimbali ya imani…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari