Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 531

Author: jomushi

Mradi wa Maboresho Matumizi ya Fedha za Umma Wafanikiwa

Posted on: May 13, 2015 - jomushi
Post Tags: Ingiahedi Mduma, PFMRP, Wizara ya Fedha
Mradi wa Maboresho Matumizi ya Fedha za Umma Wafanikiwa

Na Joachim Mushi, Kibaha MRADI wa Maboresho ya Matumizi ya Fedha za Umma (PFMRP) umefanikiwa kuboresha nidhamu ya matumizi ya fedha za umma hasa katika…

Continue Reading....

Serikali Yasalimu Amri, Yakubali Madai ya Madereva

Posted on: May 13, 2015 - jomushi
Serikali Yasalimu Amri, Yakubali Madai ya Madereva

Na Pius Yalula, Maelezo – Dar es Salaam SERIKALI imesema hakutakuwa na mafunzo kwa madereva wa malori na mabasi na wala hawatakiwi kwenda kusoma kozi…

Continue Reading....

Media and Journalism in Combating Hate-Speech…!

Posted on: May 12, 2015 - jomushi
Media and Journalism in Combating Hate-Speech…!

JOURNALISTS and African media leaders from the region are meeting this week to highlight the role of media and journalism in combating hate-speech and intolerance…

Continue Reading....

Wilaya ya Rombo Kudhibiti Gongo Ndani ya Miezi Mitatu

Posted on: May 12, 2015 - jomushi
Post Tags: Gongo, Wilaya ya Rombo
Wilaya ya Rombo Kudhibiti Gongo Ndani ya Miezi Mitatu

Na Yohane Gervas, Rombo SERIKALI wilayani Rombo imesema itahakikisha inadhibiti utengenezaji wa pombe haramu ya gongo ndani ya miezi mitatu kuanzia sasa pamoja na pombe…

Continue Reading....

Mwenyekiti Vuguvugu la Maandamano Burundi Azungumza Tanzania

Posted on: May 12, 2015 - jomushi
Post Tags: Burundi, Maandamano, Mwenyekiti
Mwenyekiti Vuguvugu la Maandamano Burundi Azungumza Tanzania

 Mwenyekiti wa Chama cha UPD-Zigamimbaga, ambaye pia ni mwanaharakati wa vuguvugu la maandamano nchini Burundi, Mugwengezo Chauvineau.  Hapa mwanaharakati huyo akisisitiza jambo kwa wanahabari. Salha…

Continue Reading....

Wanaharakati Ngazi ya Jamii Watoa Madai Uchaguzi Mkuu

Posted on: May 12, 2015 - jomushi
Post Tags: Ngazi ya Jamii, Uchaguzi Mkuu, Wanaharakati
Wanaharakati Ngazi ya Jamii Watoa Madai Uchaguzi Mkuu

Na Joachim Mushi, WANAHARAKATI Ngazi ya Jamii nchini wametoa madai kuelekea Uchaguzi Mkuu huku wakiiomba Serikali iharakishe mchakato wa uandikishaji daftari la kudumu la wapiga…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari