Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 348

Author: jomushi

Idadi ya Vifo vya Wachanga Vyaendelea Kupungua

Posted on: November 16, 2015 - jomushi
Post Tags: Afya na Uzazi
Idadi ya Vifo vya Wachanga Vyaendelea Kupungua

Na Emanuel Madafa, Mbeya IDADI ya vifo vya watoto wachanga imeendelea kupungua mkoani Mbeya kutoka vifo 602 kwa mwaka 2012 hadi kufikia 568 kwa mwaka…

Continue Reading....

Dk. Mengi Agharamia Ukarabati Ngazi Kuu za Hospitali ya KCMC

Posted on: November 16, 2015 - jomushi
Post Tags: Hospitali ya KCMC
Dk. Mengi Agharamia Ukarabati Ngazi Kuu za Hospitali ya KCMC

Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi akiwa ameongozana na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Dk. Geleard Masenga wakati alipowasili katika…

Continue Reading....

Mkutano Mabadiliko ya Tabianchi Kufanyika Novemba 20

Posted on: November 16, 2015 - jomushi
Mkutano Mabadiliko ya Tabianchi Kufanyika Novemba 20

 Ofisa msaidizi wa Programu kutoka Forum CC Jonathan Sawaya akizungumzia kuhusu mkutano mkubwa wa mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika Ufaransa.  Evelina Mageni  ambaye ni Rais wa…

Continue Reading....

UNESCO Yatoa Suluhisho la Kukabiliana na Ukeketaji Jamii za Wafugaji

Posted on: November 16, 2015November 16, 2015 - jomushi
Post Tags: Ukeketaji, Ukeketaji Tanzania
UNESCO Yatoa Suluhisho la Kukabiliana na Ukeketaji Jamii za Wafugaji

Afisa Maendeleo ya Jamii (W) Ngorongoro, Teresia Irafay (wa pili kushoto) akiitambulisha meza kuu kabla ya kumkaribisha Katibu Tawala wa Wilaya ya Ngorongoro, Lemuel Kileo,…

Continue Reading....

Rais Dk. Magufuli Aanza Kuteuwa Wabunge, Amteuwa Mmoja…!

Posted on: November 16, 2015November 16, 2015 - jomushi
Post Tags: Rais Dk. Magufulia
Rais Dk. Magufuli Aanza Kuteuwa Wabunge, Amteuwa Mmoja…!

IKIWA joto la siasa nchini likiendelea kupanda huku wengi wakisubiri kujua sura ya baraza la mawaziri la Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano wa…

Continue Reading....

Shambulio la Ghafla Paris Ufaransa, Watu 120 Wauawa

Posted on: November 14, 2015 - jomushi
Post Tags: Paris Ufaransa
Shambulio la Ghafla Paris Ufaransa, Watu 120 Wauawa

NCHI ya Ufaransa imetangaza hali ya hatari na kufunga mipaka yake baada ya watu zaidi ya 120 kuuawa kwenye mashambulio kadha mjini Paris. Watu 120…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari