Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 172

Author: jomushi

Mkuu wa Wilaya Awapongeza Wamasai Kuacha Mila Potofu

Posted on: September 14, 2016 - jomushi
Mkuu wa Wilaya Awapongeza Wamasai Kuacha Mila Potofu

Na Mathias Canal, Kilimanjaro MKUU wa Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro Rosemary Staki Senyamule amewapongeza baadhi ya vijana wa kimasai kwa kuachana na imani potofu…

Continue Reading....

Mheshimiwa Samia Suluhu Katika Sherehe za Kuapishwa Rais wa Zambia…!

Posted on: September 14, 2016 - jomushi
Mheshimiwa Samia Suluhu Katika Sherehe za Kuapishwa Rais wa Zambia…!

       

Continue Reading....

DC Mtaturu Aitaka Shanta Gold Mining Kulipa Fidia…!

Posted on: September 14, 2016 - jomushi
DC Mtaturu Aitaka Shanta Gold Mining Kulipa Fidia…!

Na Mathias Canal, Singida KAMPUNI ya Uchimbaji wa Madini ya dhahabu (Shanta Gold Mining Limited) iliyopo katika kijiji cha Sambaru Kata ya Mang’onyi Wilayani Ikungi,…

Continue Reading....

Profesa Mbarawa Akagua Athari za Tetemeko la Ardhi Kagera

Posted on: September 14, 2016September 14, 2016 - jomushi
Profesa Mbarawa Akagua Athari za Tetemeko la Ardhi Kagera

      WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amekagua athari za tetemeko la ardhi lililoikumba miundombinu ya barabara katika mkoa wa…

Continue Reading....

Semina Kubwa ya Mchezo wa Karate Yaanza Jijini Dar

Posted on: September 12, 2016 - jomushi
Semina Kubwa ya Mchezo wa Karate Yaanza Jijini Dar

Anafundisha kwa mifano! Shihan Okuma akishambuliwa na Jerome Sensei kama sehemu ya maelekezo katika semina hiyo Na Daniel Mbega SEMINA kubwa ya Shotokan Karate kwa…

Continue Reading....

Timu za Taswa SC Zatamba Bonanza la Waandishi wa Habari Arusha

Posted on: September 12, 2016 - jomushi
Timu za Taswa SC Zatamba Bonanza la Waandishi wa Habari Arusha

  Nahodha wa timu ya Netiboli ya Waandishi wa Habari za Michezo nchini, Tanzania Sports Writers Association Sports Club (Taswa SC)Zuhura Abdulnoor na mchezaji mkongwe wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari