Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,557

Author: jomushi

Mgonjwa Huyu Anaitaji Msaada Wako

Posted on: November 21, 2012 - jomushi
Mgonjwa Huyu Anaitaji Msaada Wako

ANAITWA Anastazia Dulianus (18) mwenyeji wa Wilaya ya Serengenti mkoani Mara, amefika jana Hospital ya Mkoa lakini mpaka sasa hajapata huduma yoyote. Mzazi wake anatafuta…

Continue Reading....

Hatari Sindano za Uzazi wa Mpango…!

Posted on: November 21, 2012 - jomushi
Hatari Sindano za Uzazi wa Mpango…!

UTAFITI umebaini kuwa sindano za uzazi wa mpango zinachangia kasi ya maambukizi ya virusi vya Ukimwi kwa kuwa zina vichocheo vingi ambavyo vinahuisha virusi vya…

Continue Reading....

Wanajeshi Watatu Kunyongwa Tanzania kwa Mauaji

Posted on: November 21, 2012 - jomushi
Wanajeshi Watatu Kunyongwa Tanzania kwa Mauaji

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imewahukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa askari watatu baada ya kupatikana na hatia ya kumuua, Swetu Fundikira. Adhabu…

Continue Reading....

Maadhimisho ya 23 ya Siku ya Viwanda Afrika Dar es Salaam

Posted on: November 21, 2012November 21, 2012 - jomushi
Maadhimisho ya 23 ya Siku ya Viwanda Afrika Dar es Salaam

Mgeni Rasmi Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Abdallah Kigoda akitoa hotuba katika Maadhimisho ya 23 ya Siku ya Viwanda Afrika yaliyofanyika jijini Dar es…

Continue Reading....

Kanisa la Anglikana Lateuwa Askofu wa Kwanza wa Kike

Posted on: November 21, 2012November 21, 2012 - jomushi
Kanisa la Anglikana Lateuwa Askofu wa Kwanza wa Kike

ELLINAH Wamukoya ameteuliwa kuwa Askofu wa Kwanza wa Kike wa Kanisa la Kianglikana barani Afrika. Akiongea muda mfupi baada ya kuteuliwa, Bi. Ellinah Wamukoya amesema…

Continue Reading....

Waasi wa M23 Wauteka Mji wa Goma

Posted on: November 21, 2012 - jomushi
Waasi wa M23 Wauteka Mji wa Goma

WAPIGANAJI wa waasi wa M23, hatimaye wamefanikiwa kuingia mji mkuu wa eneo la Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, eneo lenye utajiri mkubwa wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari