Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • jomushi
  • Page 1,542

Author: jomushi

Uingereza Yasitisha Msaada kwa Rwanda

Posted on: December 1, 2012December 1, 2012 - jomushi
Uingereza Yasitisha Msaada kwa Rwanda

Uingereza imesitisha kwa muda msaada iliyokuwa iipe Rwanda kwa sababu ya wasiwasi kuhusu kuhusika kwa nchi hiyo katika mzozo uliopo Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.…

Continue Reading....

Ushahidi Mpya wa Mauaji ya Mau Mau

Posted on: December 1, 2012December 1, 2012 - jomushi
Ushahidi Mpya wa Mauaji ya Mau Mau

Baadhi ya wapiganaji wa Mau Mau waliodhulumiwa na wakoloni wa Uingereza Stakabadhi za Serikali zilizotolewa huko Uingereza zinaonyesha kwa ukamilifu namna wafungwa wengi waliuawa wakati…

Continue Reading....

JK Kuhutubia Mjini Lindi Siku ya Ukimwi Duniani, Kujumuisha Hotuba ya Novemba

Posted on: December 1, 2012December 1, 2012 - jomushi
JK Kuhutubia Mjini Lindi Siku ya Ukimwi Duniani, Kujumuisha Hotuba ya Novemba

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete hatahutubia taifa Ijumaa, Novemba 30, 2012, kama ilivyo kawaida yake kila mwisho wa mwezi. Badala…

Continue Reading....

Wakazi Dar Washauriwa Kujitokeza Kupima Afya

Posted on: November 30, 2012 - jomushi
Wakazi Dar Washauriwa Kujitokeza Kupima Afya

Na Aron Msigwa – MAELEZO, Dar es Salaam WAKAZI wa mkoa wa Dar es Salaam wameshauriwa kujitokeza kwa wingi kupima afya zao mara kwa mara…

Continue Reading....

Msanii Wahu Kagwi Kusindikiza Uzinduzi wa WELLNESS

Posted on: November 30, 2012November 30, 2012 - jomushi
Msanii Wahu Kagwi Kusindikiza Uzinduzi wa WELLNESS

Umewahi kulisikia hili neno? Kwa ufupi linasanifu dhana nzima ya AFYA. Ila afya hii inaweza kuwa ya kimwili (physical), kiakili (mental), kipesa (financial), kinahusiano (relationship),…

Continue Reading....

Semina Juu ya Ustawi wa Mwajiriwa

Posted on: November 30, 2012 - jomushi
Semina Juu ya Ustawi wa Mwajiriwa

Mtaalamu wa Ustawi wa mwajiriwa Bw. Doug Bramsem akitoa somo katika semina juu ya Ustawi wa Mwajiriwa iliyofanyika hoteli ya Sea Cliff jijini Dar es…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari