Na Eliphace Marwa – Maelezo WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, TAMISEMI, George Simbachawene amewaagiza Wakurugenzi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa waanzishe zoezi…
Continue Reading....Author: jomushi
Kata ya Mabwepande Dar Walia Zahanati Yao Kufungwa
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kata ya Mabwepande, Abdallah Kunja, akizungumza na mwandishi wa mtandao huu kuhusu changamoto mbalimbali pamoja na kufungwa kwa zahanati…
Continue Reading....Mkutano Mkuu UTPC Wafanyika Mkoani Mwanza…!
Rais wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC, Deo Nsokolo, akifungua Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Klabu za Waandishi wa Habari…
Continue Reading....Mwanafunzi Aliyepigwa Kinyama na Walimu; Waziri Azungumza
Taarifa rasmi za tukio la kupigwa Mwanafunzi MNAMO Tarehe 28.9.2016, mwanafunzi aitwaye Sebastian Chinguku wa form 3A mbeya day sec school aishie Uyole alipigwa na…
Continue Reading....Hofu ya Kimbunga Yazua Taharuki Florida, Marekani
GAVANA wa Jimbo la Florida nchini Marekani, Rick Scott ametoa tahadhari kuwa uharibifu utakaotokea utakuwa mkubwa sana ikiwa kimbunga Matthew kitapiga maeneo ya jimbo…
Continue Reading....Watu Wenye Silaha Washambulia ‘Kijiji’ Kenya, Wauwa
WATU kadha wanahofiwa kufariki dunia baada ya watu wenye silaha kushambulia mtaa mmoja mjini Mandera, kaskazini mashariki mwa Kenya. Taarifa zinasema washambuliaji hao walivamia…
Continue Reading....