RAIS wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, anayetibiwa kwa ugonjwa wa mapafu, anaendelea vyema na matibabu yake na kwamba hali yake imeimarika katika…
Continue Reading....Author: jomushi
Waandishi wa Habari za Mazingira TZ Wapewa Mwanga Yaliyojiri DOHA
Mkutano huu uliowakutanisha pamoja waandishi wa habari za Mazingira Tanzania (JET) umeratibiwa na Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa nchini (UNIC) uliofanyika jijini…
Continue Reading....Kenya Waadhimisha Miaka 49 ya Uhuru
SIKU ya Jamhuri ni maadhimisho ya siku Kenya ilipotangazwa kuwa huru baada ya kutawaliwa na wakoloni waingereza waliokuwa wakiwakandamiza waafrika weusi katika taifa hilo la…
Continue Reading....Hotuba ya Rais Kikwete Akipokea Majengo ya Hospitali Jijini Dar es Salaam
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, KWENYE SHEREHE ZA MAKABIDHIANO YA MAJENGO YA HOSPITALI ZA MNAZI MMOJA, SINZA…
Continue Reading....