Author: jomushi
Ofisi ya Makamu wa Rais Zanzibar Yaahidi Neema
Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar OFISI ya Makamu wa Pili wa Rais imeeleza kuwa Dira yake kubwa ni kuwa na Serikali yenye kutoa huduma bora…
Continue Reading....Rais Andry Rajoelina Awasili Tanzania kwa Mazungumzo
RAIS wa Madagascar, Andry Rajoelina ambaye amewasili mjini Dar es Salaam mchana Desemba 14 kwa ziara ya kikazi ya siku mbili nchini akiwa na Mwenyeji…
Continue Reading....Waziri Mkuu Ahaidi Trekta kwa Vijana wa Ilunde
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameahidi kutoa trekta moja kwa ajili ya kikundi cha vijana katika kata ya Ilunde ili waweze kuondokana na kilimo cha jembe…
Continue Reading....Kofii Olomide Katika Mazungumzo na Wanahabari Serena Hoteli
Mwanamuziki kutoka nchini DRC-Congo, Koffi Olomide akitia saini moja ya bango lenye kampeni inayowatahadharisha madereva wa magari kunywa pombe kupindukia, ikiwa ni hatari kwa afya…
Continue Reading....Koffi Aipongeza SBL
Mwanamuziki nguli Barani Afrika kutoka nchini Congo Charles Koffi Olomide ameipongeza kampuni ya bia SBL kupitia kinywaji chake cha Tusker kwa kuonyesha kuwajali na kuwathamini…
Continue Reading....