Author: jomushi
Uchunguzi Ghorofa lililoporomoka Dar Waanza, Diwani Kinondoni Matatani
Na Joachim Mushi UCHUNGUZI juu ya chanzo cha kuporomoka kwa jengo la ghorofa 16 lililokuwa likijengwa na kuuwa watu pamoja na kujeruhi umeanza kwa kuhusisha…
Continue Reading....Uchaguzi Kenya Ulikuwa Huru na wa Haki -Mahakama
MAHAKAMA ya juu zaidi nchini Kenya, imeamua kuwa rais mteule Uhuru Kenyatta atasalia kuwa rais mpya wa Kenya baada ya kusema kuwa uchaguzi ulifanywa kwa…
Continue Reading....Dk. Shein Ahudhuria Siku ya Mtoto Yatima Bwawani Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Serikali itaendelea kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha inafikia hatua…
Continue Reading....Albinus Mfalme Mpya wa Uzito wa Dunia wa Unyoya
ALBINUS Felesianu wa Namibia ameudhihirishia ulimwengu kuwa yeye kweli ndiye Mfalme wa uzito wa unyoya duniani kwa vijana baada ya kumgalagaza bondia Herbert Quartey wa…
Continue Reading....